Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Wadau!
Eti sekondary kuna ada inafikia milioni 11 kwa mwaka...Nasikia iko Shinyanga sjui!
Kuna hii sijui Feza boys sijui girls ada milioni 6 kwa mwaka
Kuna chekechea nimesikia sijui iko wapi ada milioni 4 kwa mwaka
Hizi zote nilizoandandika hapa nnimesikia.
Naomba wadau ambao wanajua ada kufuru hem waniwekee hapa na shule husika, hata na mimi niendelee kushangaa.
Dah! Nawasilisha!
Eti sekondary kuna ada inafikia milioni 11 kwa mwaka...Nasikia iko Shinyanga sjui!
Kuna hii sijui Feza boys sijui girls ada milioni 6 kwa mwaka
Kuna chekechea nimesikia sijui iko wapi ada milioni 4 kwa mwaka
Hizi zote nilizoandandika hapa nnimesikia.
Naomba wadau ambao wanajua ada kufuru hem waniwekee hapa na shule husika, hata na mimi niendelee kushangaa.
Dah! Nawasilisha!