MachinoooooNi watu fulani hivi, wajuaji lakini hawajui kama hawajui. Yaani hawajasoma ila wanajua kila kitu!
Hawa watu kama ndugu, jamaa, rafiki au majirani zako basi jiandae kisaikoljia. Utakuta hawana hela lakini ni kama wanazo vile. Hawana elimu kubwa ila sasa, kwa ujuaji huwawezi.
Kila jibu wanalo hata kama sio sahihi. Hawa watu usiombee kuwafahamu
Wengi wao ni wabeba mikoba aka chawa. Kuna mambo ili uyafanikishe inabidi ukutane nao. Ila sasa, usipokuwa makini utajiona wewe ndio hujui. Wapo wengi. Wana msimamo kwelikweli na wanaamini bila wao hakuna kinachoweza kufanyika.Unakutana nao wapi? Achana nao Fanya mambo yako!
Ni watu fulani hivi, wajuaji lakini hawajui kama hawajui. Yaani hawajasoma ila wanajua kila kitu!
Hawa watu kama ndugu, jamaa, rafiki au majirani zako basi jiandae kisaikolojia. Utakuta hawana hela lakini ni kama wanazo vile. Hawana elimu kubwa ila sasa, kwa ujuaji huwawezi na wanajiamini sana!
Kila jibu wanalo hata kama sio sahihi. Hawa watu usiombee kuwafahamu
Wanaweza kukushawishi uweke chumvi kwenye chai, na ukikubali ukaweka kweli; imekula kwako. Ukiwajua hawa watu na kuwaepuka basi utafanikiwa sana. Inawezekana hata hapo ulipo wapoKama we ni wa kujichanganya lazima wakutongoze tuu na kwenye kukutongoza ndo unakutana na hzo drama, hvyo kaa kwa kutulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wanakuaga wabishi sana...
mimi kuna jamaa alikua anasema jamaica(jamdam) ipo africa,halafu ndio inaongoza kwa umasikini...
Ile nataka nimweleweshe ukazuka mzozo akafikia mpaka kuniambia elimu yangu nimesoma bure tu...
Ukimkuta mjuzeHuwa wanakera sana ila wengi wao hawajijui wako hivyo