Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kila usemalo wakukubalie hata kama ni utumbo wamekukomeshaNi watu fulani hivi, wajuaji lakini hawajui kama hawajui. Yaani hawajasoma ila wanajua kila kitu!
Hawa watu kama ndugu, jamaa, rafiki au majirani zako basi jiandae kisaikolojia. Utakuta hawana hela lakini ni kama wanazo vile. Hawana elimu kubwa ila sasa, kwa ujuaji huwawezi na wanajiamini sana!
Kila jibu wanalo hata kama sio sahihi. Hawa watu usiombee kuwafahamu
Dawa yao hoja kama huna uwezo wa kuwabana kwa hoja utaishia kuwalaumuWengi wao ni wabeba mikoba aka chawa. Kuna mambo ili uyafanikishe inabidi ukutane nao. Ila sasa, usipokuwa makini utajiona wewe ndio hujui. Wapo wengi. Wana msimamo kwelikweli na wanaamini bila wao hakuna kinachoweza kufanyika.
Hivi Tanzania ipo nchi Gani[emoji23][emoji23]Halafu wanakuaga wabishi sana...
mimi kuna jamaa alikua anasema jamaica(jamdam) ipo africa,halafu ndio inaongoza kwa umasikini...
Ile nataka nimweleweshe ukazuka mzozo akafikia mpaka kuniambia elimu yangu nimesoma bure tu...
HahahahaNa hawakawii kukugeuka au kukanusha mambo yakienda ndivyo sivyo![emoji3] Hawa watu nyie, mmmh hapana kwa kweli!
Nakazia...Sio lazima kubishana na kila mtu ,ukiona mtu ni mpumbavu na ni much know achana nae ...
Mpwayungu VillageWajuaji wote mods wamewablock mbona.Achana nao cute
Kuna mmoja aliniambia fisi ana jinsia zote mbili so hakuna fisi dume Wala jike na wakijamiiana wanachomekeana wote ila atakayewahi kupizz ndio anambebesha mwenzake mimba[emoji23][emoji23][emoji23] halafu mbishie sasa uone moto wakeUnataka kila usemalo wakukubalie hata kama ni utumbo wamekukomesha
Uwezi kuwa unajua kila kitu
Yani wewe kila kitu umo, siasa, uchumi, michezo, dini, mapenzi n.k kuna namna lazima utakua haupo sawa
Sio lazima kubishana na kila mtu ,ukiona mtu ni mpumbavu na ni much know achana nae ...
Hueleweki ujue, au ndo wewe?Ni watu fulani hivi, wajuaji lakini hawajui kama hawajui. Yaani hawajasoma ila wanajua kila kitu!
Hawa watu kama ndugu, jamaa, rafiki au majirani zako basi jiandae kisaikolojia. Utakuta hawana hela lakini ni kama wanazo vile. Hawana elimu kubwa ila sasa, kwa ujuaji huwawezi na wanajiamini sana!
Kila jibu wanalo hata kama sio sahihi. Hawa watu usiombee kuwafahamu
Mkuu siyo dhambi kuwa jack of all trades hata kama ni master of none kuna watu wanapenda tu kufuatilia kila kituUwezi kuwa unajua kila kitu
Yani wewe kila kitu umo, siasa, uchumi, michezo, dini, mapenzi n.k kuna namna lazima utakua haupo sawa
Kufuatilia sawa ila kwenye kuona kuwa unajua kila kitu kushinda hata wenye kada hiyo sio. Mfano mtu anabisha suala la kitaalam kabisa wakati hana utaalamu wowote na hajabobea kwenye kada husika.Mkuu siyo dhambi kuwa jack of all trades hata kama ni master of none kuna watu wanapenda tu kufuatilia kila kitu
Hawa watu usipokuwa makini watakuambukiza ujinga. Yaani ni vigumu kuwatambua hadi uwe makini sana! Na ukikubaliana nao hawakawii kukusaliti.Walikuzidi kuongea? Au huwapedi?.