Mi nilikuwa najua dawa moja tu ya kung'oa b'ze hutaki hii dawa, basi tena...
jamani kama kuna dawa ambayo unaweza kutibu jino bila kuhitaji kuling'oa. Nilishawahi kwenda kwa dokta akaniambi kuna jino linaota then linaukandamiza ufisi akaishia kunipa dawa za kutuliza maumivu sasa hali imejirudia. Niko bored sana