Jamani kaka yangu kazidi, naombeni mbinu za kumshikisha adabu


RR nakubaliana na mtazamo wako, lkn kwa mfano ww ni mkaa ukaona dada yako ana cheat je unaweza mchomea kwa shemjio?
 
Heehee kweli dunia ina mambo!! Yani naogopa hata kukupa mbinu za kisasa kama unavyotaka maana nilizonazo ni za hatari zaidi kwake na kwako!
Oky hebu ni PM

si uanze wewe kumpm umpe huo msaada.
 
hawezi kuwa kaka labda jikaka! Mie sikushauri tena chukua time huko na mambo yako ya likaka lako kwenda zenu huko.

Du; umeshakunywa bia ngapi vile? Fundo moja tu la ziada.........
 
huyo kaka au balaa la kaka, mchunguzeni labda shoga anamtaka mumeo
 
Hapo ulivyoandika anaonekana ni gay kaka yako, maana mambo yake ya kike kike tu!!
 
 
Ungeomba msaada wa mungu pia washirikishe watu wazima waliokaribu nanyi!
 
Lonelyheart,hebu nikuulize swali:
kaka kavunja ndoa ya dada mkubwa,unadai alimpelekea mmewe 'umbea',huo umbea ni umbea gani kama sio kuwa na hawara?kuna sababu nyingine kweli? na uchumba wa mdogo wako kuvunjika inaweza kuwa sababu hizo hizo,si ndio? ukute kaka yako ni mtu mshika maadili na anakerwa na tabia zenu. Usiangalie ulipoangukia mama ,angalia ulipojikwaa.Langu ni hilo tu.
 
Nimeipenda hii, Ngoja aje atujibu huo umbeya wake!
Maana kuna watu wanafanya utumbo halafu hawataki
kuonywa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…