Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu:ledman ukweli ndo uwo yani sijapata usingizi jana
Wewe endelea kujitapa,nakumbuka watu last year walitendwa badala kupangwa Ilala wakajikuta Mtimbwilimbwi. Unajua nini kilitokea..........?
what nonsense are you uttering my dear? Doubting for what? We all know and und understand the appropriate time of the release that to be exactly at the point of a new day. Its what we are made to believe. And its not a major issue for you doubt. Worse enough you are not a teacher. Why can't you leave my dearest teachers to do theirs and you do yours? Stop insulting your elders. To hell with you.
kama mtu anasup asitegemee kupata ajira kwa wale wa degree.
Gilbert unayosema ni ya kweli kwamba jana uliona baadhi ya majina?
Mkubwa siwezi kukuongopea. Huyu jamaa ambaye amefanya hii kazi ya kudokoa ni Mkenya ambaye amesoma IT nje na si kwamba aliniambia. Nilimfata ofisini kwake nikampatia website, ya wizara na Tamisemi. Ilimchukua mda kupata ya wizara. Lakini tamisemi haikuwa na codes nyingi. Ndani ya dakika chache alinionesha selection. Ila majina yalikuwa hayajafikia ile idadi waliyosema. Nilipojaribu baadaye nilikuta yameongezeka kwa kasi. Mimi mwenyewe nimesomea dip Marangu na nimetupwa Tunduma. Leo asubuhi tumefungua tena ila codes zimewekwa kibao. Kuziondoa imetuwia shida. Halafu Tamisemi wamezima system yao.
Mkuu unadhani ni kwa nini wamezima system yao? Gilbert wa tarakea.
Mkubwa siwezi kukuongopea. Huyu jamaa ambaye amefanya hii kazi ya kudokoa ni Mkenya ambaye amesoma IT nje na si kwamba aliniambia. Nilimfata ofisini kwake nikampatia website, ya wizara na Tamisemi. Ilimchukua mda kupata ya wizara. Lakini tamisemi haikuwa na codes nyingi. Ndani ya dakika chache alinionesha selection. Ila majina yalikuwa hayajafikia ile idadi waliyosema. Nilipojaribu baadaye nilikuta yameongezeka kwa kasi. Mimi mwenyewe nimesomea dip Marangu na nimetupwa Tunduma. Leo asubuhi tumefungua tena ila codes zimewekwa kibao. Kuziondoa imetuwia shida. Halafu Tamisemi wamezima system yao.
kumbuka pia tar 15 ilianza saa 6
Inawezekana nyie ndio mliosababisha usumbufu kwenye mitambo ya wizara ndio maana posts hazitangazwi mpaka saivi.according to the expert, the system might have been put off deliberetely for some intention. This is so because still the data base can receive the codes but unable to allow any stranger linkage. When we tried the first two codes agreed but the linkage code which is the last refused. To break it down could lead to our system breakdown due to The URL code used is very special and could detect the alterations.
Be specifically when u fly things