Jamani karibuni Mombasa!

Nilibahatika kutalii na kukaa kwa siku kadhaa maeneo ya TAWFIQ hospital. nakumbuka marashi ya mombasa!. sad to say i won't be back till 2020...
 
mpaka kesho najua mombasa si sehemu ya kenya, ni tanzania pure,.. tuliwapa hilo eneo kutokana hamkuwa na bandari, mshukuruni mwl nyerere,, wakenya wenyewe ni wabaya sana kwa sura si wanaume wala wanawake.
 
mpaka kesho najua mombasa si sehemu ya kenya, ni tanzania pure,.. tuliwapa hilo eneo kutokana hamkuwa na bandari, mshukuruni mwl nyerere,, wakenya wenyewe ni wabaya sana kwa sura si wanaume wala wanawake.
Mmmmh.... Siyo kwa povu hilo mkuu.

Wakenya wengi eti wanatoa huduma ya tigo. [emoji1] [emoji23] [emoji108]
 
mpaka kesho najua mombasa si sehemu ya kenya, ni tanzania pure,.. tuliwapa hilo eneo kutokana hamkuwa na bandari, mshukuruni mwl nyerere,, wakenya wenyewe ni wabaya sana kwa sura si wanaume wala wanawake.
Haha funny juu nyi ndo wanaume na wanawake why dont you post your pic tukuone before ku jugde watu,aki una sound arrogant n illiterate kenya kuna tribes na zote zina differ,mkamba hafanani na mjaluo ,mkalenjin hafanani na mkikuyu,before utu judge kwanza tembea kenya,bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…