MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
ahh hhahahHalafu nawafaham hao jamaa ni kama wale wa maji maji huku kwetu. Hata uwapige risasi inakuwa unga unga tu. Kwa judo na karate ndio wenyewe. Si unaona, hawana silaha hata za jadi lakini wanalinda kitaa wala hakuna wa kukatiza