MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Hawa sio wanajeshi wa Marekani,hao ni wafanyabiashara wa Kenya walioamua kuunda jeshi lao ili kujilinda na wakora pamoja na manyang'au wanaotaka kutumia mwanya wa uchaguzi kuvuna jasho la watu.Wakenya fanyeni kazi.