Thread Starter
JF-Expert Member
- Mar 16, 2017
- 1,378
- 1,045
[emoji56] [emoji56] [emoji38] [emoji38]hafu wanajua kuvitumia balaa.Wote ni wa muumba tuwathamini
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji56] [emoji56] [emoji38] [emoji38]hafu wanajua kuvitumia balaa.Wote ni wa muumba tuwathamini
HahahaHabari zenu wapendwa,
Hapa nilipo niko nje ya bongo kisafari, na safari hiyo niko huku tangu mei mosi, sasa bwana ile nimefika tu hotelini si mnajua mambo yetu yale, nikanasa tundu bovu.
Sasa ile kufika ground play kila mtu kavaa jezi za game, hee kumbe mwenzangu yeye mkulima wa bamia bwana. Nikataka kitoke nje ya ground play na kujisemea bora kukutana na mkulima wa mihogo kuliko bamia.
Ile nataka kunyanyu mguu nitoke ulingoni si akanikamata bega, akaniwekea ulingoni bamia ya chukuchuku akachanganya na nyanya chungu, japo nyanya chungu ni chungu ila ziliongeza utamu kwenye bamia.
Sasa basi sijakaa sawa akaniwekea bamia la rosti lililochanganywa na bilinganya viazi ulaya pilipili hoho vitunguu maji na saumu karoti, wakati nakula pishi hilo la tatu nikamuuliza umeoa? Upishi huu wa bamia umeutoa wapi? Alinijibu kwa pishi la nne ambapo aliweka kunde bamia la kukatakata sles akachanganya na maharage mabichi na akaunga na karanga nilipomaliza kula pishi la nne sikuongea zaidi ya kulala kwa kuvimbiwa.
Jamani nawaasa msipende kuhukumu kitu kwa kukiangalia kwa nje tuu angalia utendaji maana mie hapa tangu mei mosi nakula bamia kila siku na wala halinikinai. Play ground swadakta
Mashine [emoji23]
Motivation_Ba.D
Kweli hiyo bamia ilipikwa kitaalam
Kwa hiyo kwa sasa wewe na vibamia tu miogo hutaki tena eeeh
HahahaUmeolewa? Mumeo ana shida!!!
🤣🤣Sina mume bana acha kunipakazia
, 🤣😁😁Hata muhogo siutaki tena bamia tamu bana sasa wakati wa kumeza latereza tuu hadi raha hahahahaaa
Mapishi yake nimeyakubali
HahahaHilo ni pepo la ngono limekutawala
🤣🤣🤣Kweli enzi zimefika mwanamke anajisifia umalaya hadharani namna hii?tena one nightstand
Hahahaaaaaaha, nimekumbukaaa! Wewe ndo yule wa crash za mahari eeeh! Teeeeh, umekutana na bamia ikakutendea haki, lolz
angalau sasa genye zimeisha, tangu mei mosi, siku kumi si haba.. Manake nyie single ladies (referring single ladies series) mnakaa na ugwadu mda mrefu.
Lugha ya mafumboMm nimewaza tuu 6*6
Afadhali umempata wa kukutoa nyege maana ulikuwa watusumbua tu hapa ndani na misredi yako ya krashi za kwenye magari...
Hahahamnyamwezi wa igunga wewe