Jamani Kibamia kitamu Asikwambie Mtu

Kuna vibamia vingine kama misumari,kanachomaa mpaka unajuta,,lakin kuna vibamia vitamu haswaa alienacho awe moyonii
Vibamia vinatofautiana aisee kuna vitamu na vichunguuuuu
 
Nimekuhukumu hapo kwenye pishi la kuchanganya Bamia na Nyanya chungu, wewe Unatudanganya tu hapa! Umependa pishi la Nyanya Chungu, hiyo bamia ni kiungo tu hata mihogo ya Jang'ombe inaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…