Ukiimba umasikini sio wote wana guswa na umasikini, ukimba ujamaa sio wote wana guswa na ujamaa, ukiimba ucha Mungu sio wote wana guswa na ucha Mungu, ukiimba maadaili sio wote wana giswa na maadili ,ukiimba kufunza nakujenga jamaii sio wote ana guswa na hayo, lakini ukiimba mapenzi karibu kila mtu ana guswa na mapenzi ndio mana siku zote mapenzi yatakubalika ,karibu kila mtu anakutana nayo! na nadhani ni watu wachache wasio guswa namapenzi labda unaweza kua ni wewe peke yako, sasa kwanini msanii ambaye anataka kuuza kazi yake akuhangaikiwe wewe peke yako kukuridhisha wakati ana hitaji kujikumu na maisha kwa kuuza kazi yake kwawengi wanao isikiliza? , maana ina wezekana labda wewe hata kazi hununui au ni mara moja moja , je ni kuulize mara ya mwisho umenunua kazi za wasanii yeyote iwe mapenzi au Ujamaa lini ilikua?