Jamani kina dada mna nini jamani kuwataka shemeji zenu?

Ss huoni kama hata mwanaume hana msimamo?! Ujasiri wa kumuoa rafiki ya aliekua mpenzi wako unautoa wapi kama sio dishi limeyumba
Upo sawa kabisa, ni wanaume wachache sana wenye msimamo akitongozwa akatae, wapo kama mbwa wanavyofuata harufu ya chatu mpaka mdomoni kisha tumboni, itakuwa hata yeye alimpenda
 
Halafu mnakuja kujuta mambo yalisha haribika na aibu juu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo sawa kabisa, ni wanaume wachache sana wenye msimamo akitongozwa akataye, itakuwa hata yeye alimpenda
Aliona shemeji kinyama cha hamu matokeo yake kakolezwa na nn sijui huko
 
Ss huoni kama hata mwanaume hana msimamo?! Ujasiri wa kumuoa rafiki ya aliekua mpenzi wako unautoa wapi kama sio dishi limeyumba

Utamu mbaya sana dadangu , trust me mwanaume kigezo cha kwanza kinachomfanyaga amwoe mtu ni utamu yan kama rafiki yake ni mtamu kuliko yeye, Ameumia tayari, vitu vingine vyote wanawake huwa wanafanana ila utamu wa pussy aisee unatofautiana sana...Msema ukweli mpenz wa Mungu
 
Hahahahaha dah
 
Hahahahaha dah

Juz nlikuwa na jamaangu akawa ananiambia wakati tupo tu na random conversation, eti anasemaje ? Utamu ndio kila kitu, sababu nlimuliza kuhusu relationship yake na dada mmoja me nlikuwa simwelewi, aliniambia wewe nikaushie me ndio najua yaliyomo, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣...We mwenyewe angalia mtaan kwenu unashangaa jamaa lihandsome kabisa mke wake sasa kawaida sana sasa basi ishue kama ile Ogopa sana aisee watu wanakuaga wamenasa. Me mpaka sikuiz nimeacha kuwauliza 🤣🤣🤣🤣🤣...
 
Ila kuna watu wana roho ngumu. Yaani Unamchukua mwananume wa rafiki yako au wa ndugu yako tena unadhamiria kabisa kufunga nae ndoa!!
Sioni furaha kwenye maisha yao
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…