Jamani ku-share huku kunakubalika?

Jamani ku-share huku kunakubalika?

B. Berry umenichekesha kwa ukeli. Hyo ndo problem ya kufake mapenzi kunako six by sax. But sijang"atwa mpenzi. Kung"atwa tena lol. Nimecheeeka
mijino mingine imekaa tu vibaya, inakatiza yenyewe pale kwenye nanihii, ndo hapo unaona uchungu wake
 
Km umeweza kushare nae mwili na penzi ukampa mkagusana mpk ......denda akakupa cha ajabu nini hapo?huoni kuwa uchafu unaufanya?mambo mengne mnajitia kinyaaaa wkt mengne mnapenda .
 
Nilishtuka kidogo.... Kushare nini tena (was thinking...lol)

Hivo vingine ni makubaliano na mazoea I think... Ila just thinking yaani Mzee atoke amevaa kufuli la kike.... Siwezi kua comfy kabisa! Dah'

wenzio wanaume wanavaa tena nimeshawahi ona kwenye daladala mwanaume suruali imemshuka mpk tumeona lesi za kwenye pindo ya chup.
 
mapenz matamu ukipata mtu msafi.......munaweza kushare kila kitu endapo mtakubaliana wote na kama mwenzio hataki wala usimlazimishe
 
Mie naona maada ingekuwa specific.. Ukiongelea mpenzi ni term pana sana, manake hata wale wanaookota vyakula maeneo ya posta Ohio st, au hapa afrikasana .. Kabla ya kuanza kula naskia huwa wanaropokeana ' bebi I love you' sasa sijui ndo mapenzi ya staili hii anayoongea mleta sred au za small house na big house, au za kianafunzi. Mie nadhani tungeongea specific WANANDOA
Nawakilisha tu
 
Unamwogwsha hadi atakate.
Uzuri tumewezeshwa kusema na wamarekani

mapenz matamu ukipata mtu msafi.......munaweza kushare kila kitu endapo mtakubaliana wote na kama mwenzio hataki wala usimlazimishe
 
Sijui na mimi nianze hayo mambo.................... Si mnajua mapenzi yanahitaji maboresho...........!
 
Taulo tu taabu sembuse toothbrush? No no no siwezi

Dena, mtu akikuzamia chumvini utaona kinyaa au utapiga mayowe kwa furaha?? Kwaiyo nae aone kinyaa asikupe raha sio? Unataka kusema blowjob humpi mwenzako? Hapo unaonaga kinyaa au? Taulo na miswaki ni mambo madogo sana katika couple sharing! Sasa mkisafiri mkalala hoteli au gesti inayotoa taulo moja tu, hutaoga? acha ushamba wa kimbulu bana!
 
Kinachonishangaza kwenye mada hii ni wingi wa wanaopendakulambwa au kulamba chumvi! Kuna tofauti yoyote ya uchafu huu na hule wakutumia mlango wa pili?!

Mkuu mlango wa pili japo una utamu wa aina yake, lakini ni dhambi ya kufa mtu! Pale hata shetani anakimbia unabaki mwenyewe ili mungu atakapokuuliza uwe huna wa kumsingizia!
 
Dena, mtu akikuzamia chumvini utaona kinyaa au utapiga mayowe kwa furaha?? Kwaiyo nae aone kinyaa asikupe raha sio? Unataka kusema blowjob humpi mwenzako? Hapo unaonaga kinyaa au? Taulo na miswaki ni mambo madogo sana katika couple sharing! Sasa mkisafiri mkalala hoteli au gesti inayotoa taulo moja tu, hutaoga? acha ushamba wa kimbulu bana!
mi nashangaa sana pia
 
Taratibu bana, unanifanya nacheka kwa loud spika wakati mkoloni yupo hapa karibu...lol. Sipendi ndio mana namkataza.

Jamaa yako atakuwa haifanyi vizuri ndo maana huipendi, labda anakung'ata huyo! Ukikutana na mchezea ulimi mzoefu lazma upagawe!
 
Au utamsikia tu,"i'm coming,i'm coming" huku mikono yake imeshika kichwa chako mpaka wakati mwingine nywele zinatoka!

Tatizo wanawake wakizidiwa kwa utamu wanakukandamiza kichwa mpaka unakosa pumzi ukiwa chumvini, inabidi unakuwa unaibukaibuka kupata hewa, kama mpiga mbizi wa kigamboni vile!
 
Km umeweza kushare nae mwili na penzi ukampa mkagusana mpk ......denda akakupa cha ajabu nini hapo?huoni kuwa uchafu unaufanya?mambo mengne mnajitia kinyaaaa wkt mengne mnapenda .

Denda? Saaaana tu; lakini ku-share mswaki hapana!!! taulo, i don' mind...lakini kale kanguo ke2 ka ndani kale....no, tena BIG NO! by de way, we jidume unavaa kale kanguo ka ndani ka mkeo halafu unapata ajali unapelekwa hospital, kuvuliwa nguo unakutwa umevaa kale kaguo ambako kwa nyuma ni kauzi tu kamepita kati kati ya chakula cha mafirauni!!! baba mkwe wako au mtu unayemheshimu anaona hako kaguo kakitolewa mwilini mwako!!!!!! Unafikiri atazani umevaa ya mkeo au wata-conclude kwamba jamaa ni bwabwa?!
 
wenzio wanaume wanavaa tena nimeshawahi ona kwenye daladala mwanaume suruali imemshuka mpk tumeona lesi za kwenye pindo ya chup.

WE umejuaje kwamba jamaa alivaa kanguo ka ndani ka mkewe/mpenzi wake?! Hana lolote, litakuwa choko tu hilo; shenzi taipu zake!! Kidume cha ukweli hata kama kitavaa chupi ya mkewe, atajitahidi kwa kila hali kutokaonesha mbele za watu!!!
 
Denda? Saaaana tu; lakini ku-share mswaki hapana!!! taulo, i don' mind...lakini kale kanguo ke2 ka ndani kale....no, tena BIG NO! by de way, we jidume unavaa kale kanguo ka ndani ka mkeo halafu unapata ajali unapelekwa hospital, kuvuliwa nguo unakutwa umevaa kale kaguo ambako kwa nyuma ni kauzi tu kamepita kati kati ya chakula cha mafirauni!!! baba mkwe wako au mtu unayemheshimu anaona hako kaguo kakitolewa mwilini mwako!!!!!! Unafikiri atazani umevaa ya mkeo au wata-conclude kwamba jamaa ni bwabwa?!
Baba mkwe nae atakuja huku kavaa chupi la mkewe, itakuwa ngoma droo, sanasana mkwe atawaza kumbe na hawa kama sisi!
 
Back
Top Bottom