Daah babu DC mie ndio mana ukipotea huwa nakumiss sana nimekugongea like kimoyo moyo,
maneno ya ukweli sana, ngumu kumeza ila Bishanga ajitahidi kusukumia hata na maji... Amesahau kuwa goes around comes around, wahindi huwa wanaita Karma, ukitenda mema utalipwa mema na ukitenda mabaya utalipwa mabaya, lini, wapi na kwa style ipi nobody knows! Nakubaliana na wewe babu DC kuwa Bishanga hana budi kuvumilia kipindi hiki kigumu kwake mpaka pale kitakapopita, hana cha kufanya zaidi sana amrudie Mungu wake na aungame makosa yake na asisahau kufanya maombi kwaajili ya binti!
Mie sijambo kabisa, nifikishie salamu kwa bibi mpendwa!