ndi nkuba bishanga abashaija nkanyampila olwazi lwayatika! Ngendelele kwebuga?
DC bana!Hahahahahahahhahahahah,
Hakuna kitu hapa,
Bishanga Bashaija wa ukweli kweli hawezi kulia lia kama wewe....halafu issue yenyewe ndogo...
Analipwa alichowafanya watoto wa wenzie....What's the problem??
Babu DC!!
JLS zamani nikichangia sana,lakini baadae nikawa napata kizunguzungu,pasua kichwa kule,enzi hizo nilikuwa na ubavu wa kujibizana kwa hoja na kina Field Marshall ES.Siku hizi huwa naingia for the purpose ya kudadis na kuperuzz basi,ni kugumu sana aisee,waachie wenyewe sisi tujilie burdan huku.Dah kaka nashukuru sana, ujue kuna kaneno nilikatumia kwenye jukwaa la siasa ikawa balaa nikashtukia mamwera hao mlangoni direct segerea. My lovely Sweetylady nilimiss sana ngoja niPM sasa hivi maana wakati natoka kifungoni alikuwa ameshalala tayari
DC bana!
By the way na wewe una mabinti?
kwa nini hujaniaga? Hivi na sudan jf inaonekana?aisee!
Kongosho bana...
"..vitu vidogodogo akawa hamuelewi..." anyways.. Aliangalia matembezi au, alidevop mapozi flani,ama alishuku tu... Wajua kuna watu kupitia hii thread kesho wanaweza kupeleka watoto wao hospitali kucheki..
baada ya kuni put off big time leo ndo kanajipendekeza kwangu,utafanyaje nawe ni mzazi,nimekakumbatia.am sorry dad nyiiiiiiiiiiiiingi.He Bishanga Binti yetu kafanya nn tena ?
Nimeona kabinti kengine kako 19 yrs old kamekunywa sumu baada ya kutundikwa ujauzito hiyo ni jmos iliyopita,ila akmesalimika kako hosp.
Wanahitaji malezi yaliyo makini sana
Manyusi,just a question,hivi kulea kuna specific formula? yaani kwamba ukichanganya maji na unga unapata ugali,unga maji na mafuta unapata chapati? ndugu yangu Manyusi,binadamu tunazaa mwili sio roho,wapo watoto wengi from the so called very good families baba mchungaji mama mkatekista,baba ustaadh mama mwenyekiti wa baraza la wakina mama na bado mitoto yao imeishia kuwa mivuta bangi and vice versa.Tatizo unataka kumlea ameshakuwa hapo ndo wazai tunapokosea alitakiwa alelewe tangu mdogo na hiyo ingemjenga hata angekuwa mkubwa angeendelea kukumbuka malezi ya utotoni lakini umemlea kwa deko tangu utoto leo ndo unataka umlee katika maadili hapo umechelewa.Lea mwanao tangu mdogo katika njia unayotaka akue hapo akikua hataiacha.
baada ya kuni put off big time leo ndo kanajipendekeza kwangu,utafanyaje nawe ni mzazi,nimekakumbatia.am sorry dad nyiiiiiiiiiiiiingi.
hakuna hofu kwa mzazi kama mvulana wake akiwa sh.og.a
hasa haya maeneo ya mjini
ambapo mtoto anafuatwa na skul bus na mazingira mengine hatarishi.
Siwezi sema bora wa kike maana na yeye ana uchungu wake
lakini angalau watapita kwenye njia inayoruhusiwa hopeful
kameturn 16
Halafu, hutajua kama ni shoga mpaka mtaa mzima na wa pili wajue, siku ukijua wewe, wanashangaa.. "mbona siku nyingi wewe ndio unajua leo". Yarabi, tunusurie wenetu maana mambo mengine hata usiwaze, unaweza kufa kwa kitu ambacho hakipo.
ndo maana bora kuwa mwoga
ukiona huelewi hata unywele
peleka hospital
Konnie mambo...
Vipi mnamshauri Bishanga bado...?
JLS zamani nikichangia sana,lakini baadae nikawa napata kizunguzungu,pasua kichwa kule,enzi hizo nilikuwa na ubavu wa kujibizana kwa hoja na kina Field Marshall ES.Siku hizi huwa naingia for the purpose ya kudadis na kuperuzz basi,ni kugumu sana aisee,waachie wenyewe sisi tujilie burdan huku.
poa Gee Cee
bado tunampoza byshernger
naona keshapata na binti yake
sasa twaweza tulia