Jamani kuna kipimo cha kumeza kipira

Suprise

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
2,696
Reaction score
1,063
Juzi niliambiwa kuna kipimo cha kumeza kipira juu ya maumivu ya kifua na tumbo, nilikua namuulizia matibabu kaka yangu analalamika sana juu ya kifua na maumivu tumboni nikaelekezwa niwaone maspecialisty wa kifua na tumbo,
je huyu physician nimeambiwa anaweza kua wa kifua na tumbo mmoja tu au natakiwa kuwaona wote wawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…