Jamani kupita pita kote huku sisikii nikitajwa kwa Makonda!!!!

Jamani kupita pita kote huku sisikii nikitajwa kwa Makonda!!!!

miaka thelathini na mbili ameshaolewa mara mbili bado ana watoto wanne wa tata kwenye ndoa ya kwanza anataka apewe matunzo na baba yake ..
Hizi njaa zingine, ni shida, angekuwa na pesa angeangaika kumtafta lowassa, leo hii maziwa saa 10!??
Au katumwa!
 
kama ni hela sasa mbona sisikii bureau de change zikitajwa,mpesa ,tigo pesa,airtel money. ..na hela zenyewe
Hii ni hatari sana!
Bora makonda angeangaika na wanao telekeza bikra za wanawake
 
Aise kuna watu wahongo humu ndani hadi wanasababisha kumvua kukatika.
 
Back
Top Bottom