kabisa lizzy!, huyu dada hana adabu kabisa hata kama hana uhusiano mzuri na mama mkwe lakini majibu yake kwa kweli waume wengi hawawezi kuyakubali maana yanaweza kuzua varangati la kufa mtu ndani ya nyumba na huyo mke kujutia majibu yake yaliyojaa ufedhuli wa hali ya juu. Yaani hamsini elfu ndio isimamishe ujenzi wa nyumba!!!! Duh! Kazi kweli kweli!!!
mkuu bubu ataka kusema
hapo ndippo unapoambiwa ni muhimu kuomba mungu mtu sahihi kwenye maisha yako wengine wanapata kasheshe tangu kwenye urafiki lakini wanajipa moyo kwamba atabadilika kwenye ndoa nani kakwambia..tatizo lilipo sikuhizi hata ma spiritual husband/wife yanavaa miili ya kibinadamu wewe unajua unaoa mwanammke mzuri unakuja kujuta ...ni muhimu sana nasema tena na sitoacha kusema wacha niendeeleaa kusema nikiwa na pumzi hii ya mungu sitaki kuona ndoa yako ikiaribika ama kuachana sababu ya upumbavu ama kutokuwa na ufahamu..jirekebishe anza kumuomba mungu sasa akupe mke ama mume sahihi kutoka kwa mungu......,baadhi ya wanawake wamekuwa na demons hasa wanapovishwa pete niliwahi kuleta mada kadhaa za ndoa labda kukumbusha tu kufanya maombi kabla ya ndoa kunasaidia yafuatayo
1.kupata mke/mume sahihi
huyu ni mwenzako na mnatakiwa mpendane kuliko wazazi waliokuzaa sas basi kama ni mapenzi ya mungu hata upande wa wazazi wakiwa na shida lazima unakuwa wa kwanza kukaa chini na kuwasaidia..m nawambia ukifanya mchezo unafunga ndoa na majini pasipo kujua
2.visasi
unajua kabla ya kuoana lazima umwombe mungu akusamehe wewe na mtarajiwa wako akuondolee visasi vyote kwnye ukoo wenu wapo wanandoa wengi wanateseka sababu si walivishana pete pale azania ,st joseph la hasha ni visasi vya ukoo vinawafwata..ukisoma ayubu 38:11 utaona anasema utafika mpaka lakini hutopita..kuna malango yako kila ukoo labda wewe lango la ukoo wenu ni magonjwa unaoa mke mzima wewe mzima mkisahingia kwenye ndoa unaanza ooh kisukari cha gafla ooh nanii yangu imekwisha nguvu unabaki kimya shauri yako kuna watu wanaitumia bila wewe kujua kemea visasi
ukisoma hapo juu unaweza fika mpaka kwenye ndoa lakini hutomudu kwenyendoa unaweza kuvalishwa pete lakini kuitunza poete kwenye kidole ikawa swala lingine...ukiangalia kuna familia awana hata mawazo ya kuoana ukiangalia tangu wazazi wao walichukuana wakawekana ndani wakazaliana na watoto yaani sis nao tukaza nje na watoto wao wanakuja kuzaa nje so swala la ndoa kwao linakuwa hadithiya osama..ukipata neema ya kumuoa huyo ndugu moto wake unaitaji nguvuza rohomtakatifu mashetan yatamlilia mpaka mwisho ama kwa kutumia wakwe ama yeye na mwenzie
huyo ajalogwa kajilogwa mwenyewe na dawa ya mganga ni kujiagua mwenyewe how
1.apigwe prayer aondoe laana za ukoo wenu ukoo wa huyo mwanamke..
2.akumbuke wazazi wake sio mpoaka wapate shida wengine wakwe zetu wako kwenye payroll..m wakwe zangu wana bill za mlo mwisho wa mwezi na nakuambia nilikuwa natuma na basi kila mwisho wa mwezi wakaomba wawe wanakuja wanasali kesho yake unashangaa unashika dola ujui zimetokea wapi...mwambie soln ya kujitoa ni yeye mwenyewe
jumapili njema