Jamani mabinti hizi "PUSH BACK" mzivae vizuri!!!!

Jamani mabinti hizi "PUSH BACK" mzivae vizuri!!!!

Tatizo mmezdi kuyaacha wazi!! Pia nacheka nikikumbuka alivokuwa anajtahd kuyarudsha ndani!!!! Jus imagine hzo purukushani.

Na hapo ndio burudani ilipo....namna aatakavyojitahidi "kuyapanga" yakae sawa tena................just priceless! I wish ningekuwepo jirani
 
Mamboz wana JF!!!
Duh! Jana ilitokea kali i think ni fundisho tosha kwa mabinti wote wanaopenda kutega kwa ku2onesha matiti yamecmama wakati yameshalala!
Mtaani kwetu wakati napata gahawa sumwhr kuna binti mrembo aliingia cafeteria kapendeza ile mbaya, kavaa mini skirt na top moja ambayo ipo wazi sehemu za matiti ili upate kuyaona fresh coz kwa ndani alibana fresh yakasimama kwa "PUSH BACK"
Wakati anaenda kunawa c unajua cafe ze2 za uswaz lazima uiname kidogo, kuinama matiti yote yakachomoka nje!!!!
Kweli hii ilikuwa "PUSH OUT" co "PUSH BACK" tena, coz binti alikosa pozi hata kuyarudisha ndani ilikuwa issue!!!! Till now nikikumbuka inabidi nicheke!!!!

Huyu kweli Engineer,
 
Duh!! Inawezekana ni kweli maana jana nipo ndani ya coaster nimekaa na dada 1 Milk zake kubwa sana kavaa
PUSH BACK,shirt nzuri but kafungua vishikizo hadi sehemu ya Milk ili zionekane fresh!!! Wadada mna mambo nyie!!!

hapana. Biashara matangazo. Hata ukiwa na duka eg la nguo, jitahidi display ivutie.
 
Back
Top Bottom