ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Nilikuwa nataka kusikimu nyumba yangu sasa nikamuambia fundi wangu anipigie hesabu ya vitu vinavyo hitajika,akapiga akanitumia picha ya vitu vinavyo hitajika.
Lakini cha kushangaza mikanda ile ya pembeni haikuwa kwenye orodha ,ikabidi nimpigie kumuuiliza nikijua labda kasahau, lakini alicho nijibu ni kuwa mikanda ni mtindo wa kizamani kwa sasa mikanda haitumiki japo kuwa ameniambia kuwa kama nataka iwepo na penyewe haina shida.
Sasa mafundi skiming naomba ufafanuzi juu ya hili ni kweli kabisa kuwa nyumba inaweza ikapendeza bila kupiga mikanda ?
Lakini cha kushangaza mikanda ile ya pembeni haikuwa kwenye orodha ,ikabidi nimpigie kumuuiliza nikijua labda kasahau, lakini alicho nijibu ni kuwa mikanda ni mtindo wa kizamani kwa sasa mikanda haitumiki japo kuwa ameniambia kuwa kama nataka iwepo na penyewe haina shida.
Sasa mafundi skiming naomba ufafanuzi juu ya hili ni kweli kabisa kuwa nyumba inaweza ikapendeza bila kupiga mikanda ?