Kwa jinsi lilivyokuwa la sirini,sidhani kama kuna aliyewahi kujipigia picha,na hata kama alipigia kwa kipindi hiki sijui kama hipo. Nimesachi Google hola.Nyuzi zingine ukiona tu kichwa cha habari unakuwa na matumaini ya kukutana na picha ya kukamilisha habari kwa mfano huu uzi unahitaji sana picha. Mkuu tupia picha kukamilisha uzi wako plz.
Enzi hizo hapakuwa na mitandao kwahiyo hata Google haipo.Nyuzi zingine ukiona tu kichwa cha habari unakuwa na matumaini ya kukutana na picha ya kukamilisha habari kwa mfano huu uzi unahitaji sana picha. Mkuu tupia picha kukamilisha uzi wako plz.
tusubirie mkuu..Kwahiyo na yenyewe yanarudishwa.
Wengine wanalinaita sindausiLipo kama sketi,lakini yenyewe kitambaa chake laini sana. Unalivaa lenyewe kisha ndo inakuja "pichu"
yalikua mazuri sana kama mtu umepata dharura...Natumai mko poa.
Jamani magagulo yamepotelea wapi ....... Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo.
Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo vazi la sirini,hivi yamekuwaje tena hayaonikani wala kuvaliwa na sababu ya kutokuyavaa ni nini ....... wakuu hebu tufahamishane kuhusu hili vazi.
Nakumbuka utoto wangu nikikosea kuvunua sehemu nisiyoelekezwa, basi Bibi ataniambi wewe utakuja kufunua hadi Gagulo la mkweo,kwa jinsi hili vazi lilivyokuwa la heshima na la siri.
Tuambiane wakuu kulikoni Magagulo.
[emoji23]Yanatoweka kama ninyi wa umri wenu mnavyotoweka. Mnatoweka na vazi lenu
Dah! Magagulo! Umenikumbusha mbali sana, enzi za kupenda kwenda kushangilia netball, siku hizi haina tena ladha hiyo netball yenyewe, maana wanavaa ma skintight, wakiruka juu hata motisha hakuna!Natumai mko poa.
View attachment 365232
Jamani magagulo yamepotelea wapi ....... Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo.
Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo vazi la sirini,hivi yamekuwaje tena hayaonikani wala kuvaliwa na sababu ya kutokuyavaa ni nini ....... wakuu hebu tufahamishane kuhusu hili vazi.
Nakumbuka utoto wangu nikikosea kuvunua sehemu nisiyoelekezwa, basi Bibi ataniambi wewe utakuja kufunua hadi Gagulo la mkweo,kwa jinsi hili vazi lilivyokuwa la heshima na la siri.
Tuambiane wakuu kulikoni Magagulo.
Natumai mko poa.
View attachment 365232
Jamani magagulo yamepotelea wapi ....... Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo.
Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo vazi la sirini,hivi yamekuwaje tena hayaonikani wala kuvaliwa na sababu ya kutokuyavaa ni nini ....... wakuu hebu tufahamishane kuhusu hili vazi.
Nakumbuka utoto wangu nikikosea kuvunua sehemu nisiyoelekezwa, basi Bibi ataniambi wewe utakuja kufunua hadi Gagulo la mkweo,kwa jinsi hili vazi lilivyokuwa la heshima na la siri.
Tuambiane wakuu kulikoni Magagulo.
Natumai mko poa.
View attachment 365232
Jamani magagulo yamepotelea wapi ....... Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo.
Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo vazi la sirini,hivi yamekuwaje tena hayaonikani wala kuvaliwa na sababu ya kutokuyavaa ni nini ....... wakuu hebu tufahamishane kuhusu hili vazi.
Nakumbuka utoto wangu nikikosea kuvunua sehemu nisiyoelekezwa, basi Bibi ataniambi wewe utakuja kufunua hadi Gagulo la mkweo,kwa jinsi hili vazi lilivyokuwa la heshima na la siri.
Tuambiane wakuu kulikoni Magagulo.