Jamani Magagulo yamepotelea wapi ??

Jamani Magagulo yamepotelea wapi ??

Natumai mko poa.

View attachment 365232

Jamani magagulo yamepotelea wapi ....... Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo.

Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo vazi la sirini,hivi yamekuwaje tena hayaonikani wala kuvaliwa na sababu ya kutokuyavaa ni nini ....... wakuu hebu tufahamishane kuhusu hili vazi.

Nakumbuka utoto wangu nikikosea kuvunua sehemu nisiyoelekezwa, basi Bibi ataniambi wewe utakuja kufunua hadi Gagulo la mkweo,kwa jinsi hili vazi lilivyokuwa la heshima na la siri.
Tuambiane wakuu kulikoni Magagulo.
Zipo kwenye minada bei sawa na bure buku jero tu
 
Mabadiliko ya tabia nchi ndio yamelipoteza, huoni hata pichu za siku hizi ni tofauti na za zamani? siku hizi kamba kamba tu si bukta tena.
Ila liliheshimika sana.
Mimi ninayo siwezi vaa gauni bila hiyo kitu[emoji21]
Safi sana.
Dah! Magagulo! Umenikumbusha mbali sana, enzi za kupenda kwenda kushangilia netball, siku hizi haina tena ladha hiyo netball yenyewe, maana wanavaa ma skintight, wakiruka juu hata motisha hakuna!
Ilikuwa burudani sana,njiani mnasimuliana Gagulo la Eva rangi ya bluu mwingine anasema la Fatuma la rangi ya njano.
Out of fashion, picchu AKA will also be out of fashion very soon. Nadhani umesikia warembo siku hizi wakienda kujirusha hawavai picchu wanadai papuchi nayo ina haki ya kupata hewa safi oxygen. Kuliwahi kuwa na uzi humu ambao ulihusu gagulo na wadada wengi humu walichangia sana.
Hebu tutafutie tuuone ili kama vipi tuchangie.
yapo samsun huwezi kuyaona maana ni vazi la ndani labda kama unachungulia chungulia sana
Nimeelezea hivo kwa sababu hata kwenye kamba za kuanikia nguo sizioni,wakati "pichu" naziona.
Mie huwa napenda kuvaa mini gown na skirt. Ikitokea nimevaa skirt au gauni ambalo litaonyesha kyupi hasa nikiwa nimesimama kwenye mwanga yaani kama ntaonekana transparent lazima nitupie gagulo. Sipendi kuvaa skin tite na ndo hadi leo naendeleza gagulo. Ila hata nikikaa gauni refu transparent ntatupiamo gagulo fupi.

Kinachonikera kuhusu magagulo ni pale gagulo linapochungulia chini ya sketi au gauni.

Kasie.
Ni kweli,uzuri wa hayo makitu yasitokeze kwa chini inatakiwa ukivaa mtu asijue kama umetupiamo Gagulo.
Siku hizi wanawake wetu wanasema hawataki kunyanyaswa, biashara ni kujitangaza kama hayo magagulo ni mali basi yapelekwe uarabuni wanawake wa huko wanunue.
Mbona Gagulo kama upo kibiashara ndio zuri, maana wanaweza kuvaa lenyewe tu bila ya sketi.
 
wanawake wa siku hizi wanavaa chupi na sketi za kubana ili uone michirizi ya edge za chupi katika matako basi wanaskia raha wenyewe...sa akivaa gagulo utaona je michirizi ya chupi?
 
Dah! Magagulo! Umenikumbusha mbali sana, enzi za kupenda kwenda kushangilia netball, siku hizi haina tena ladha hiyo netball yenyewe, maana wanavaa ma skintight, wakiruka juu hata motisha hakuna!
Ndo ilikua tabia yako kumbe ee
 
Hayapo sababu siku izi hakuna tena rede. Gauni lilitumika kudakia mpira enzi hizo wakati wa rede.
 
Back
Top Bottom