Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kufuru mwana!hujaoa unalalamika laki 7 haikutoshi!!na hiyo elimu yako unayo idhalilisha ningekuwa na uwezo ningekunyang'anya eti kadegree
kweli mkuu huyu jamaa atakuwa ana 'jisokoni'!Huyu analeta utani,na waalimu wa grade 111A wasemeje?,au marketing in making?
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Natumai una maono makubwa, ni kweli hupaswi kurizika na hali uliyo nayo. Ukilizika unakuwa umeua njozi za maendeleo, Mungu ametuumba hivyo japo sisi tunachanganya kutokuridhika na tamaa. Ninachojua ni kwamba usirizike lakini uwe na furaha. Laki saba au hata milioni tano ilihali umeajiliwa wewe unaitwa bado ni mtumwa, anayepata laki nne kwa kujituma mwenyewe ni bora kuliko wewe unayetumia degree yako kupokea maelekezo mpaka juu ya maisha yako hata unapokuwa uko nyumbani bado una digest maelekezo ya mtu ambaye kwa wakayi huo yuko kwenye starehe