Jamani maisha magumu na kamshahara kangu nahangaika tu mtaani

Jamani maisha magumu na kamshahara kangu nahangaika tu mtaani

Mshahara wako wa laki 7 hautoshi kwasababu hela hiyo ni sawa sawa na matumizi Yako jaribu kutafuta kitabu cha Rich Dad poor Dad kitakupa mwanga wa wapi unakosea na niño ufanye ila mshahara wako ni mwingi sana na unakutosha

Dada, Kiyosaki anashauri kuachana na msemo "Ishi kulingana na kipato chako" badala yake anashauri "ongeza kipato uishi utakavyo" kwa hiyo kwa mleta mada ameona mshahara huo haukidhi mfumo wa maisha yake, binafsi namuunga mkono si muda mrefu na atakuwa amechelewa akivumilia mshahara huo wakati anajua anaishi chini ya tamanio lake, bahati mbaya hawezi kujiongezea mshahara hata kama mwaka husika mwajiri kavuka lengo, kujiongezea kipato kunahitaji uhuru kamili.
 
Mbona mi nalipwa laki4na20 na nimeoa nina watoto wawili. Na maisha yanaenda vizuri? Punguza matumizi yasio ya lazima. Mshahara wa laki7 tena upo alone unalalamika? Mwenzio nina postgraduate
vizuri sana!! napenda watu kama ninyi wana uchumi mambo yanaenda!
 
Dada, Kiyosaki anashauri kuachana na msemo "Ishi kulingana na kipato chako" badala yake anashauri "ongeza kipato uishi utakavyo" kwa hiyo kwa mleta mada ameona mshahara huo haukidhi mfumo wa maisha yake, binafsi namuunga mkono si muda mrefu na atakuwa amechelewa akivumilia mshahara huo wakati anajua anaishi chini ya tamanio lake, bahati mbaya hawezi kujiongezea mshahara hata kama mwaka husika mwajiri kavuka lengo, kujiongezea kipato kunahitaji uhuru kamili.

Well said mkuu we kweli muona mbali!
 
Laki saba unalialia. Tena bado lunch allowance, mikutano na semina. Achilia mbalu kozi nje ya nchi kila mwaka. Vumilia.
 
Laki saba unalialia. Tena bado lunch allowance, mikutano na semina. Achilia mbalu kozi nje ya nchi kila mwaka. Vumilia.

We Zogwale acha kumpotosha kijana ndg yangu, ofisi gani ya serikali watumishi wake wanabenefit hayo uliyotaja kwenye uzi wako kama sio zari ambalo linaweza kukudondokea just once till tenure time as a public servant! Do u knw how long does it take for him to become a senior employee in public sector? Atasubiri sana hadi azeeke na siku ya kugutuka watampa cheque ya mafao yake @his retardation age ajifie kwa BP!
 
Last edited by a moderator:
We Zogwale acha kumpotosha kijana ndg yangu, ofisi gani ya serikali watumishi wake wanabenefit hayo uliyotaja kwenye uzi wako kama sio zari ambalo linaweza kukudondokea just once till tenure time as a public servant! Do u knw how long does it take for him to become a senior employee in public sector? Atasubiri sana hadi azeeke na siku ya kugutuka watampa cheque ya mafao yake @his retardation age ajifie kwa BP!
Ha ha ha Kisima mkuu kwa mshahara wa laki saba aliotaja ni lazima awe na cheo cha senior tayari kama ni central government. Ila kwa taasisi zake inawezekana ndiyo wa kuanzia officer japo unaweza kuwa mkubwa zaidi. Mkuu kila kitu ni kuvumilia ila cha msingi wenye mawazo ya kumshauri aanzishe biashara ya ku backup ni vizuri tu. Ila pia mkuu sijasema ni mkubwa ila hata kwa mimi binafsi kwa mshahara kama huo hata wiki hautoshi. Nikifikiria petrol, matumizi home, binafsi lunch nikiwa katika pilika pilika, mbona hata siku tatu hazifiki? Sasa hapo bado transfer kwa extended family. Cha msingi atumie hela kwa vitu vya msingi huku akijiandaa kutafuta cha ziada
 
Ha ha ha Kisima mkuu kwa mshahara wa laki saba aliotaja ni lazima awe na cheo cha senior tayari kama ni central government. Ila kwa taasisi zake inawezekana ndiyo wa kuanzia officer japo unaweza kuwa mkubwa zaidi. Mkuu kila kitu ni kuvumilia ila cha msingi wenye mawazo ya kumshauri aanzishe biashara ya ku backup ni vizuri tu. Ila pia mkuu sijasema ni mkubwa ila hata kwa mimi binafsi kwa mshahara kama huo hata wiki hautoshi. Nikifikiria petrol, matumizi home, binafsi lunch nikiwa katika pilika pilika, mbona hata siku tatu hazifiki? Sasa hapo bado transfer kwa extended family. Cha msingi atumie hela kwa vitu vya msingi huku akijiandaa kutafuta cha ziada

Hilo ndo la mhimu mkuu, tuwapike vizuri wadogo zetu wazijue mbinu mbadala kuondokana na manung'uniko yatokanayo na kazi za utumishi wa serikali unless vijana wetu watakuwa zao la ufisadi na muendelezo wa ukoo wa panya kutafuna mema ya nchi. Ndio maana kila kukicha tunashuhudia ufujaji mkubwa wa hela ktk funded projects nyingi.
 
Hilo ndo la mhimu mkuu, tuwapike vizuri wadogo zetu wazijue mbinu mbadala kuondokana na manung'uniko yatokanayo na kazi za utumishi wa serikali unless vijana wetu watakuwa zao la ufisadi na muendelezo wa ukoo wa panya kutafuna mema ya nchi. Ndio maana kila kukicha tunashuhudia ufujaji mkubwa wa hela ktk funded projects nyingi.

Kabisa mkuu maana leo tena wakichangia hotuma ya Mh. PM imeibuka tena so la kukwapua over 200 billion!!! Over EPA scandal!!! Hizi tamaa sijui mtu ukifa watakuzika na majumba, hela na mengine yote?? Tutafakari kuwa unahitaji only 2.5-3 of land or roght 6-10 sqms kama kaburi tu!!! Na urefu wake itagememea na kiasi cha gongo walichopewa wachimbaji!!
 
All progress is due to those who were not satisfied to let well enough alone. Acorns were good until bread were found, The majority fails because of its lack of persistance creating new plans to improve the ones that succeed.
If you can't think up new idea, find a way to make better use of an old one. Where we can not invent, we may at least improve, don't look for the answer to your problem; look for many answers, the choose the best one. Do more than it required and continue doing it.
The biggest enemy of best is good. If you are satisfied with what is good, you will never have what is best. There is always a way-then there is always a better way. When you have found some thing-look again. School is never out! The more you truly desire something, the more you will try to find a better way. A SUCCESSFUL MAN CONTINUES TO LOOK FOR WORK AFTER HE HAS FOUND A JOB.
Take the offensive. Cause something to happen. Don't waste time defending your present position. Create a habit of taking the initiative and don't evet start your day in neutral. Don't leave well enough alone. If at first you do succeed, try something harder. "Show me a thorouhgly satisfied man, and I will show you a failure" Find a better way, and make that way better.
 
Hivi siku hizi english grammar haifundishwi tena mashuleni?
 
Back
Top Bottom