Natumai una maono makubwa, ni kweli hupaswi kurizika na hali uliyo nayo. Ukilizika unakuwa umeua njozi za maendeleo, Mungu ametuumba hivyo japo sisi tunachanganya kutokuridhika na tamaa. Ninachojua ni kwamba usirizike lakini uwe na furaha. Laki saba au hata milioni tano ilihali umeajiliwa wewe unaitwa bado ni mtumwa, anayepata laki nne kwa kujituma mwenyewe ni bora kuliko wewe unayetumia degree yako kupokea maelekezo mpaka juu ya maisha yako hata unapokuwa uko nyumbani bado una digest maelekezo ya mtu ambaye kwa wakayi huo yuko kwenye starehe