Hii mambo ya kusema ananipenda nshaonaga uduwanziAnausemea moyo wa mtu ambaye hata kupiga simu kwake ni kwa tabu na mateso na bila shaka atakuwa anakasirika kasirika hovyo kila jamaa anapoanza kulia lia πππ!
Yani mwanamke akikuchoka bana ni balaa
Angekupenda kweli usingeanzisha uzi wa kuliaHii mambo ya kusema ananipenda nshaonaga uduwanzi
Kachanganyikiwa[emoji23][emoji23][emoji23]Angekupenda kweli usingeanzisha uzi wa kulia
Yuda=msaliti;Habarini wadau na washauri wa JF
Mi bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi
Bro mapenzi yakikuzingua jaribu kwenye kilimo hasa cha pilipili..nimesoma mawazo yenu wadau kwanza niwashukuru kuna muda wana jf wanakuwa na
hasira zaidi ya mtuu husika nawashukuru saana nimepata mwangaa japo afadhali
nimeona niongeze kujijali sana na kuzidi kupendeza na kwenda viwanja clasic zaidi
kwa ajili ya kupoteza mawazo na mwanamkee akiniomba ata 10k namtumia mama yangu
namwambia nishamtumia
sikuamini na umri wangu kunassiku nitaumia ivi au kuandika uzi kama huuu
Heee kumbe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Espy
Ndio ndio.Heee kumbe
Kwanini unahama hiviNdio ndio.
Si rungu tumepewa la kubadili, basi nikijisikia tu nabadili.Kwanini unahama hivi
Muda ambao umekuw naye kwenye mahusiano ni mdog San kuthibitisha kwamba anakupenda,mara nying huwa ni mihemuko Tu Lkn sasa ameanza kukuonesha uhalisia, ktk mahusiano ni rahis San kufake na wakt mwngne ni vgumu San kutofautisha fake na original, mpe Muda kisha utaelewa Lkn Jambo la msingi Zaid jitahd kuzuia mapenzi yakutawale maan hakuna anayeaminika Kweny ulimwengu wa mahusiano wa sasaHabarini wadau na washauri wa JF
Mi bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi
Heheheheh kumbeSi rungu tumepewa la kubadili, basi nikijisikia tu nabadili.
Nipe namba yake nikusaidie kitu utakuja kunishukuruHabarini wadau na washauri wa JF
Mi bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemiss anaongezea.
Tumeenda vizuri, tumeishi kwa furaha saanaa ghafla mambo yakaanza badilika baada ya mwezi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia maybe i love u anajibu thanks nachoumia akihitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia maybe kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa, yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje maana naumia sana, kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA