Jamani malaria.

Jamani malaria.

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Jamani wandugu nimekuwa na malaria isiyoisha, yani simalizi mwezi cjaugua malaria zaidi ya mara mbili, nimeshacheck full blood picture hakijaonekana kitu zaidi ya malaria, msaada pls.
 
Kuna Dawa mbadala ya kienyeji ambayo wengi hawaijui ambayo hutibu na kuondoa malari ndani ya siku tano, Mbegu za

mpapai zikaushiwe ndani bila kukutana na mwanga wa jua, baada ya kukauka zipondwepondwe na kuzisaga harafu

zichujwe kwa chujuo ili kupata unga wake, chukua kijiko kidogo jaza weka kwenye kikombe cha maji ya moto

changanganya kunywa mara mbili kwa siku ukitumia na panando ndani yasiku tano malaria kwisha.
 
Kuna Dawa mbadala ya kienyeji ambayo wengi hawaijui ambayo hutibu na kuondoa malari ndani ya siku tano, Mbegu za

mpapai zikaushiwe ndani bila kukutana na mwanga wa jua, baada ya kukauka zipondwepondwe na kuzisaga harafu

zichujwe kwa chujuo ili kupata unga wake, chukua kijiko kidogo jaza weka kwenye kikombe cha maji ya moto

changanganya kunywa mara mbili kwa siku ukitumia na panando ndani yasiku tano malaria kwisha.

MziziMkavu uuuu!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Faida za Mbegu za Mpapai na Majani ya Mpapai

Papaya Seeds
Proteolytic enzymes like papain and chymopapain to modulate the immune system. Papaya seeds are more effective than the papaya fruit, because it`s protein-digesting enzymes and glycosides like caricin and carpaine help kill worms. In one study, researchers found that a mixture of honey and papaya seeds cleared stools of parasites in 23 out of 30 subjects.

Papaya antibacterial properties and are effective against E.coli, Salmonella and Staphylococcus infection.


Papaya Leaves
In many areas of the world papaya is used as a vermifuge, anthelmintic and amoebacide that eliminates worms and other parasites. The papaya leaf contains the enzymes papain and chymopapain and several nutrients like beta carotene,

vitamin C, E and minerals like magnesium, calcium, potassium, zinc and manganese. The papaya leaf has less enzymes than the

fruit so it is less likely to “dissolve” the worms, but it contains tannins that the papaya fruit does not. Tannins protect the intestine

from re-infection by “tanning” proteins in the lining of the intestinal wall so that worms cannot attach themselves. Fresh papaya leaves are a strong natural medicine for malaria. Papaya leaves can be used to heal open wounds. Also it has anti-inflammatory properties and the compounds in papaya leaves are a great boost for the immune system Baba V Amka wewe mpaka uambiwe na Ma-Daktari ndio utamini?Ahhhhhhhhhhhhhhh

Papaya.jpg


Carica_papaya_-_papaya_-_var-tropical_dwarf_papaya_-_desc-fruit.jpg



 
Last edited by a moderator:
Hii zandu inapatikana wapi mdau?
 
Back
Top Bottom