Jamani mapenzi hujui, pesa huna unang'ang'aniza ndoa loh!

Hii aibu dah mambo haya sio ya kuyaanika hadharani...mngenongonezana huko mkashauriana na kama ingeshindikana mngemuacha kaka wa watu...I feel sorry for him maskini nishai....

i thought i help?
 
i thought i help?
Halafu mbona naona solution ulikuwa nayo kabla hata hujaandika...Umesema mtu hamjali,Hana pesa (Kitu ambacho umekipa kipaumbele),Mambo ya 6*6 ni zero sasa anasubiria nini miaka yote mitano hio....Is she waiting for a miracle from GOD to happen???Aachane na mambo ya familia huyo mwanaume ataishi nae yeye na si yoyote so SHE IS RESPONSIBLE FOR HER HAPPINESS AND SHE SHOULD LIVE HER LIFE UNDER HER CONDITIONS PERIOD!!!!!Au hajielewi anataka nini ndo maana anatapatapa?
 
Kama mimi ndio ningekuwa huyo mwanaume sasa ndio ungekuwa wakati muafaka wa kununua bastola
 
Huu ni ukweli au uongo? Nani kafundihswa jinsi ya kugegeda? No No ana maruhani yake huyo sio bure....ila na wewe unaoneka unamsifia sana mwenzio unapotoka kugegedwa ndio maana anakuonea wivu! Bisha

duu! hii tena noma mi hapo no koment
 
Naomba niwe wa mwisho kuamini kuwa hili swala hali kuhusu wewe.

Samahani lakini.
 
wizi tu hakiuna kitu hapo, story yenyewe ya kutunga tu! Au ni wewe halafu unamsingizia rafiki yako, kama hutosheki, weka mkono huko utakuwa sawa..acha kusumbua umma
 
Hii nondo inaleta unyanyasaji sana
so kukosa hela ndo tatzoooooo

okey,nmeelewa maana wtt wazur naishia kuwaita shemej tu
 
miss chagga, tell that friend of yours, awe anakuja kwangu kuomba chumvi kila siku!

then, we use opportunity cost, ataridhika tu!

mjini ni nusu udsm dada!
 
Last edited by a moderator:
Hapo umeongea. Maana zamani hata hamfanyi mpaka siku ya harusi. Utakachopata ndio hicho, wala hujui kama ndio inabidi ki-feel hivyo au la!...maisha yale bwana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…