Jamani mapenzi yatanimaliza nisaidieni pls

Jamani mapenzi yatanimaliza nisaidieni pls

Ukisilalamike sana Mkuu tandika mimba, wazazi wake wakishtukia mtoto kavimba juu watamsindikiza wenyewe mpaka kwako. Wakati huo na wewe unajifanya kama una nyodo vile!
 
Sasa wewe Butifulu Ledi unadhani BJ kakosea?Whether you accept or not,walokole ndio ivo walivo japokua sio wote...wana dharau binadamu wengine wooote ambao hajaokoka,superiority complex ndio tatizo lao....bure kabisa....

Mungu awasamehe maana hamjui mkiandikacho.
 
................hii ni kali ................................
 
Hayo ndo madhara ya kukugombana kutamkiana maneno ya ajabu kwa wapenzi ambao hawajagombana muda mrefu SASA MWENZIO ANATAFAKARI JIBU LA "POA" ULILOMJIBU ANYWAY TOKA NAE OUT ILI UMPOTEZE NA MAWAZO YA WOGA ONGEA NAE KWA MANENO MAZURI ILI MOYO ULIKAVE
Hbr wanaJF: nina mpenz wangu NAMPENDA sana ila kwa muda wa wiki 3 sasa tupo ktk mzozo mkubwa unaotishia uhusiano wetu,tulipanga twende tukajitambulishe kwa wazazi lkn yeye alimpa kama dokezo tu mama yake,mama akasema sitaki uniletee mtu ambae HAJAOKOKA,hilo lilileta mzozo kwan mi sikuwa tayar kuokoka na mwishowe akakubali kuwa liwalo na liwe ataishi nami hata kama wazaz wake watakataa.Tukiwa bado hatujatulia vizur baba yake akaja na hoja kuwa kuolewa mpaka 2016 na sio sasa,hapo mzozo ukaibuka upya na akasema kama sipo tayar basi nitangulie tu kuoa,kweli nilichukia nkamjibu POA. tukakaa wiki zima bila mawasiliano mpaka mimi nilipofunga safar toka mbeya kuja dar kusuruhisha-yakaisha..tatizo ni kuwa mpnz amebadilika sana,hana hamu na mm kama zaman,hatumi msg na akituma basi anajibu msg yangu tena kifupi tu sawa,poa au nmeelewa yan sio kama zaman na baada ya kumuuliza leo akasema HAYUPO TAYARI KUNIKOSA lakin pia anakosa ile hamasa ya mapenz kwangu,nfanyeje arudi ktk hali yake ya zamani jaman?
 
@baba juice!,umetumia maneno makali sana kwa walokole...mmmh hapana mkuu yeye si mlokole in such yan anaigiza tu kwa kuwa mama yake anataka awe mlokole na ndo maana akataka nami ni-act hvyo hata hapo niligoma pia ndo maana akasema basi liwalo na liwe. Pls usiwe mkali hvyo
Duh? Serious? Yaani kama Pinda? Basi, na wewe kubali Liwalo na Liwe. Au hujasikia msemo "Jino kwa Jino"? Sasa nakushauri hivi, usijali kitakachotokea, na t be specific bora ukaanza uhusiano mpya kuliko kurekebisha uhusiano unaokufa. Remember: When Love Dies, Life Continues!
 
Kupenda lazima uwe una uhakika unapo penda hakuna kasoro.
 
Hbr wanaJF: nina mpenz wangu NAMPENDA sana ila kwa muda wa wiki 3 sasa tupo ktk mzozo mkubwa unaotishia uhusiano wetu,tulipanga twende tukajitambulishe kwa wazazi lkn yeye alimpa kama dokezo tu mama yake,mama akasema sitaki uniletee mtu ambae HAJAOKOKA,hilo lilileta mzozo kwan mi sikuwa tayar kuokoka na mwishowe akakubali kuwa liwalo na liwe ataishi nami hata kama wazaz wake watakataa.Tukiwa bado hatujatulia vizur baba yake akaja na hoja kuwa kuolewa mpaka 2016 na sio sasa,hapo mzozo ukaibuka upya na akasema kama sipo tayar basi nitangulie tu kuoa,kweli nilichukia nkamjibu POA. tukakaa wiki zima bila mawasiliano mpaka mimi nilipofunga safar toka mbeya kuja dar kusuruhisha-yakaisha..tatizo ni kuwa mpnz amebadilika sana,hana hamu na mm kama zaman,hatumi msg na akituma basi anajibu msg yangu tena kifupi tu sawa,poa au nmeelewa yan sio kama zaman na baada ya kumuuliza leo akasema HAYUPO TAYARI KUNIKOSA lakin pia anakosa ile hamasa ya mapenz kwangu,nfanyeje arudi ktk hali yake ya zamani jaman?

Mpende katika daraja ile ile anayokupenda wewe. Mpende kwa kumtumia mesji ndogo kama hai, Mambo, na endelea kupunguza mawasiliano nae. Lazima tuwe waangalifu katika kuwafanzia wapenzi wetu vile wanavyovipenda nao watatupenda.
 
mkuu kwani kuokoka ni kufa?? au ni jambo zuri tu kuwa karibu na Mungu?? au wewe unampenda shetani zaidi?? basi nenda kuzimu katafute mke...
 
 
Last edited by a moderator:
everythn happens 4 a reason........wazazi watakua hawakutaki thtz y,, hata cku wakikubali umuoe mwanao watakupangia mahari ambayo utabaki mdomo wazi..,pole ma dia hata hivyo kupitia hizo changamoto upendo wa dhati utajidhihilisha.
 
kabla cjakushauri hebu nambie ukweli huyo demu ni mzuri au baya?? Usiniambie ni wa kawaida.
 
Tatizo unaremba sana, The Boss kamaliza kila kitu fuatilia ushauri wake, kula tunda weka embryo ndani ya uterus halafu tuone kama hao wazazi watazuia.

Ukifanya hivyo vita itageuka na kuwa kati ya wazazi na Msichana mwenyewe maana atakuwa amekwisha jua utamu wako ulivyo.
 
Back
Top Bottom