Jamani mapenziii

Nakushauri, angalia kilichokupeleka hapo chuo ni nini hasa?Je, ni shule, mapenzi? au kutalii?
Mapenzi siku zote yapo, tena mshukuru Mungu kwamba wewe enzi hizi unawe kuomba ushauri na watu wakakushauri, enzi zetu sisi tuliharibu hakuna wa kumuuliza na unaogopa baadae ndio unakuja kujuta sana sana. Mambo haya ki ukweli yapo na hayakwepeki ila tu cha msingi ni kumtanguliza Mungu, muombe Mungu akusaidie ili akupe mke mwema mara baada ya kumaliza chuo. Na, sasa hivi soma mdogo wangu, usije juta kama tulivyojuta wengine, ukimuweka Mungu mbele yote yanawezekana.
Pole sana na Mungu atakusaidia, soma kwanza mke utampata tu
 

Tuko pamoja mkuu, ndio maana nikamwambia hilo ndilo ground la kujua haya mambo ya mapenzi, ajifunze tu kwani hata sisi tumeshapitia huko, chuo kikuu kunapatikana kila kitu, mapenzi ya kweli, ya uongo, ya mali, ya masomo (unamsomea mtu) ndo maisha ya chuo hayo, akitoka hapo amekomaa, akipata SUP pia ni part ya kujifunza.
 
mapenzi yapo na yataendelea kuwapo, na unapofanya kosa ndipo unajifunza, fanya kilichokupeleka chuoni, jichanganye kwenye mazoezi,mwombe Mungu akupe nguvu na maarifa ya kuweza kushinda kinachokusumbua
 
Red:Kwa hilo jina lako...naomba nisiseme kitu!!!
 
kula shile wewe kijana achana na mambo ya love kwani utayakuta tu..
 
Unachokitafuta utakipata tu,walisema mshika mawili moja humponyoka kwa hiyo uamuzi ni wako,kaa chini ufikirie unataka mapenzi au elimu.
 
acha chuo haraka sana kabla hujadisco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…