Nakushauri, angalia kilichokupeleka hapo chuo ni nini hasa?Je, ni shule, mapenzi? au kutalii?
Mapenzi siku zote yapo, tena mshukuru Mungu kwamba wewe enzi hizi unawe kuomba ushauri na watu wakakushauri, enzi zetu sisi tuliharibu hakuna wa kumuuliza na unaogopa baadae ndio unakuja kujuta sana sana. Mambo haya ki ukweli yapo na hayakwepeki ila tu cha msingi ni kumtanguliza Mungu, muombe Mungu akusaidie ili akupe mke mwema mara baada ya kumaliza chuo. Na, sasa hivi soma mdogo wangu, usije juta kama tulivyojuta wengine, ukimuweka Mungu mbele yote yanawezekana.
Pole sana na Mungu atakusaidia, soma kwanza mke utampata tu
Mapenzi siku zote yapo, tena mshukuru Mungu kwamba wewe enzi hizi unawe kuomba ushauri na watu wakakushauri, enzi zetu sisi tuliharibu hakuna wa kumuuliza na unaogopa baadae ndio unakuja kujuta sana sana. Mambo haya ki ukweli yapo na hayakwepeki ila tu cha msingi ni kumtanguliza Mungu, muombe Mungu akusaidie ili akupe mke mwema mara baada ya kumaliza chuo. Na, sasa hivi soma mdogo wangu, usije juta kama tulivyojuta wengine, ukimuweka Mungu mbele yote yanawezekana.
Pole sana na Mungu atakusaidia, soma kwanza mke utampata tu