Jamani mbona kama hamna taarifa ...

Jamani mbona kama hamna taarifa ...

Sijaelewa vizuri mtelemko (slope) kutoka kiunoni mpaka kwenye makalio ya bi harusi. Nilitegemea iwe curve, sasa naona box like angles.

1141858
 
Kwani yupoje mkuu
Huyo mwanamke kwa apperiance yake hata kwa pesa au mtutu wa bunduki siendi naye Kanisani au Msikitini eti naenda kumfanya mke wangu.

Hao miezi sita mingi washavurugana na hivi anajua huyo bwana alimwaga chozi siku alipomposa basi atakoma.
 
Wabovuu vibaya mnooo!kama wale kina lulu nation kujifanya walikua wanaponda watu wenyewe sura kama hovyooo sasa hivi hachambi tena,yule carry nae wa hovyooo kichizi,yule cpffe table sasa wa kawaida sana!
Halafu wasambaza umbea sasa, picha zao wenyew wanaogopa kuzipost kwa page zao.
 
Huyo mwanamke kwa apperiance yake hata kwa pesa au mtutu wa bunduki siendi naye Kanisani au Msikitini eti naenda kumfanya mke wangu.

Hao miezi sita mingi washavurugana na hivi anajua huyo bwana alimwaga chozi siku alipomposa basi atakoma.
Acha wivu
 
Back
Top Bottom