Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 723
Jamani mlie karibu na mtukufu mniulizie kama hali hii ina koma lini au kama haina ukomo nalo mnijulishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahha,,, mbona unamkatisha tamaa jamaa,,, 😀mpaka 2025
Kwa hiyo ukirudi mkoani ndo mambo yanakuwa nafuu?hii hali tutadumu nayo. mpaka 2025 ,tulio karibu nae tunaanza kufungasha mwezi wa saba. tunarudi mikoani
namwambia ukweliAhahahha,,, mbona unamkatisha tamaa jamaa,,, 😀
Mpaka za kilatino tutazisoma tumpaka 2025
tutarudi tumwachie mji wake. Kama alivyosema. hali ni ngumuKwa hiyo ukirudi mkoani ndo mambo yanakuwa nafuu?
Ataondoka yeye Ngosha,,,sisi wazawa hatatuacha hapahapa kibishitutarudi tumwachie mji wake. Kama alivyosema. hali ni ngumu
So ukirudi home mkono wake haufiki huko utakako enda.tutarudi tumwachie mji wake. Kama alivyosema. hali ni ngumu
Hali hii mbona bado cha mtoto ikifika 2019 tutalegeza ili mtuchague tunawajua vizuri kwamba mna kale kaugonjwa ka kusahauhii hali tutadumu nayo. mpaka 2025 ,tulio karibu nae tunaanza kufungasha mwezi wa saba. tunarudi mikoani
hivi dar sio mkoa?................hii hali tutadumu nayo. mpaka 2025 ,tulio karibu nae tunaanza kufungasha mwezi wa saba. tunarudi mikoani