Jamani mi nampenda huyu actor

Jamani nisaidie mwenye ndugu filipino aniunganishe nae niende kikamtafute coco, nime google contact zk zote zilizokuja ni fake, hayuko fb wala twitter nimeelezwa na media moja inaitwa ABC CBN, ntafanyaje mpka nimuone jamani, nisaidieni wana jamii


Nenda fb mu add John Lyoid Cruz then muombe contacts za coco Martin utampata.....anaishi Corazon City
 
Tafuta ubalozi wa Ufilipino watakusaidia kutimiza ndoto yako......loading.........
 
i'll keep dreaming as i hope one day ntamwona, afu he is single kama mimi, i blv in this saying dreams come true, coco is the love of my life

Oooh pole,hez 32 na ana family yake usikaone kafupi...mambo yake marefuuuu
 
Magonjwa ya akili siku Hizi yameongezeka sana!!

hey u mi si mgonjwa wa akili Tafadhali, nime fall in love,, jamii forum filipino inapatikana, i hope coco will hear out my cry,
 
Jamani mi nimefall kwa huyu actor wa filipino Coco martin, nampenda mpka namwota kila siku , natamani hata kumwona live siku moja

Kuna mtu aliwahi nieleza nafanana nae, lakini nilimkatalia.
 
Unaweza kuota pesa usiku wakati umelala kumbe asubuhi ukakuta lundo la m.a.v.i kitandani
 
hata mie namuota Wiliam Levy sijui tampata wapi hahhhahha
 
Jamaa m anafanya kazi pale tanapa .ni mkuu wa kitengo cha kutokomeza majangili.
 
ww baada ya kumpenda mbongo mwenzio unampenda mtu ambaye akikuona ataanza kujiuliza kumbe "nyani" na wenyewe wanapendaga binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…