Jamani mimi kuku mgeni

Jamani mimi kuku mgeni

mbelwaz

Senior Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
133
Reaction score
121
Jamii forums nimeioenda kwa Kweli maana inahusisha watu makini hivyo na mimi nieamua kujiunga kuungana na watu makini jinsi ni ya kiume habarini wakubwa

sent using TV ya chogo
 
Jamii forum nimeioenda kwa Kwel maana inahusisha watu making hvyo na mm nieamua kujiunga kuungana na watu makini........jinsi ni ME.habarini wakubwa

sent using TV ya chogo
Nani kakufundisha kuandika signature wakati wewe ni mgeni?
 
Utundu tu maana kila Siku nilikuwa najaribu kujiunga ikashindikana kwahyo nikawa na fuatilia fuatilia setting za jf

sent using TV ya chogo
 
Mbona kamba mguuni hatuioni halafu mwandiko wako huo soon utakutana na walimu wa UPE wakufunze namna nzuri ya kuandika.otherwise karibu kundini.

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
 
nimeioenda =nimeipenda
making=makini
Jinsi ni ME=Jinsia ni ME

Unatuboa wasomaji!
Ntaandika vizur tatizo hizi Siku za watu na dictionary zao ukiandika bila kuangalia vzur wanaweka maneno ya lugha zao

sent using TV ya chogo
 
Hahahaha..noma sana,mgeni anaingia na signature kabisa..
 
Back
Top Bottom