Emanuel lucas francis
Member
- Oct 11, 2017
- 27
- 7
Ondoa jina lakoMm mgeni humu
Mbona unamtisha aiseeOndoa jina lako
Karibu sana Man/mkuuMm mgeni humu
Nakushauri usitumie jina lako halisiMm mgeni humu
Mwache tu atumie jina lake kwani kuna nini mbona Jf ni kwa Wastaarabu.Nakushauri usitumie jina lako halisi
OK nachangeNakushauri usitumie jina lako halisi
Eee unaonekana tu[emoji4] [emoji4] [emoji4]Mm mgeni humu
hawezi kuondoa labda aje na id mpyaOndoa jina lako
Hahaha! mbona we hutumii jina lako halisi mkuu?Mwache tu atumie jina lake kwani kuna nini mbona Jf ni kwa Wastaarabu.
Mkuu nielekeze jinsi ya kubadili ID, Kwenye setting sioni Option ya kubadili ID. Natanguliza shukran!Ondoa jina lako
Mm mgeni humu
Umejuaje jina ni lake!Ondoa jina lako