Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn?.Nakushauri usitumie jina lako halisi
Na avatar uliyoweka mkuu watu wanaweka fakeOK nachange
Mbona mnamtisha je kama anataka kuwa verifiedNa avatar uliyoweka mkuu watu wanaweka fake
Hatumtishi jaman tunamwambia tu ajueMbona mnamtisha je kama anataka kuwa verified
Tutumie maombi yako pm [emoji117] [emoji117] JamiiForumsMkuu nielekeze jinsi ya kubadili ID, Kwenye setting sioni Option ya kubadili ID. Natanguliza shukran!
Namaanisha aondoe jina lake halisi mkuu. Kwani we unaitwa joseverest?Mbona unamtisha aisee
Mkuu acha kumtisha chaliiOndoa jina lako
We ndo umemwelewesha, nami nilimaanisha hivyoNakushauri usitumie jina lako halisi
Nawe tumia jina lako halisiMwache tu atumie jina lake kwani kuna nini mbona Jf ni kwa Wastaarabu.
Asante sana jamaa
We una uhakika gani hilo jina ni halisi au kisa lina order.Hatumtishi jaman tunamwambia tu ajue
Khee KK veep au id yako ya pili nilimwambia avatar mieWe una uhakika gani hilo jina ni halisi au kisa lina order.
Aweke jina fekiMbona unamtisha aisee
inawezekana kabisaKwAni jf huwez kutumia jina lako halisi???