jamani mke wa m2

jamani mke wa m2

heshima kwenu jf!naomba mnisaidie kujinasua kwani kwa juhudi zangu nimeshindwa.mwenzenu nimejikuta nikiangukia ktk mtego wa mapenzi na mke wa m2 baada ya vishawishi vyake vya mda mrefu, hata kufikia hatua ya kutaka kuondoka kwa mumewe kwa madai kuwa ana ujauzito ambao anadai mi nimehusika akidai nikaishi nae kwe2.jamani ushauri na uzoefu wenu utumike kunisaidia.
Jamani Fimbo mbaya ndio umekuja kunianika huku? sawa bwana ila sikuachi ng'oooo lol kehekehe
 
Umeona eeh

Du wanaume mnavyoumia wake zenu kuliwa, l wish mgeumia hivyo hivyo au at least nusu yake nyie (waume wa wake zenu) kuliwa na mabinti/ wanawake! Yaani dunia bila ngoma ingewezekana!

But nyie waume wa watu mnapenda kuibiwa, why??????
 
Pole kwa upumbavu na ujinga wako wa kula vya watu. Sasa kaa mkao wa kuliwa.
 
Ukipenda boga penda na ua lake kaka teh! Pole kwa KILOBA ULICHONACHO.
 
Umelikoroga mwenyewe hakuna wa kukusaidia kunywa. Utakuwa mkimbizi duniani na mbingu hutaionja.
 
heshima kwenu jf!naomba mnisaidie kujinasua kwani kwa juhudi zangu nimeshindwa.mwenzenu nimejikuta nikiangukia ktk mtego wa mapenzi na mke wa m2 baada ya vishawishi vyake vya mda mrefu, hata kufikia hatua ya kutaka kuondoka kwa mumewe kwa madai kuwa ana ujauzito ambao anadai mi nimehusika akidai nikaishi nae kwe2.jamani ushauri na uzoefu wenu utumike kunisaidia.
Badilisha kwanza jina lako..... "Fimbombaya"
 
we jamaa inabidi tuukate uume waKO then uchomwe kwenye oven...apelekewe huyo mwanamke aule na ugali wa muhogo.....wewe na huyo mwanamke mkishamaliza kuula huo ugali mnatakiwa kfungwa jiwe kubwa shingoni then mnatoswa baharini...mafirauni wakubwaa
 
mke wa mtu shumu...utakujaa kukojoaa dagaa...by ziggzagg creaw[majitu}
 
kila mtenda naye hutendwa we mchukie mpeleke kwenu halafu hiyo dhambi lazima ikurudie na wewe kuna mtu atakusaudia kumla na kuletewa mtoto sio wako
 
Tumechoka kutoa RIP kwa wafumaniwa. Anyway inaonekana umechoka kuishi unatafuta sababu ya kuondoka hapa duniani.
 
Jamani mimi nilikuwa namtongoza dada mmoja mzuri sana,huko dar basi akawa ananizungusha sana,baada ya mwaka akanipa siku hiyo nilido hara sana ndipo tukaanza kuongea nae sasa mie nilijua kuwa atalala nami,nikajitayarisha kutoka nae mara namwona anachukua begi lake la mkononi,nikamwuliza vipi?akanijibu inabidi niwahi kurudi kwangu mie mke wa mtu.Aisee nilitaka kuzimia,nilisomea risala kali sana na nikamwambia huo ndio mwisho wa uhusiano wetu nikaita teksi nikamlipia arudi kwake basi nilikata mawasiliano nae kabisa alijaribu mara 3 kunipigia nikamwambia akijaribu tena ntamsema kwa mumewe.Mke wa mtu hapana kabisa
 
Jaman mie nina mpenzi wangu lakini ananizid umri bt ni miaka miwili tu je!!Naeza muoa anaheshima na upendo kama mie nimpendavyo kwa zat.Nahitaji mchango wen kwa kunishauri ili niamue moja.
 
heshima kwenu jf!naomba mnisaidie kujinasua kwani kwa juhudi zangu nimeshindwa.mwenzenu nimejikuta nikiangukia ktk mtego wa mapenzi na mke wa m2 baada ya vishawishi vyake vya mda mrefu, hata kufikia hatua ya kutaka kuondoka kwa mumewe kwa madai kuwa ana ujauzito ambao anadai mi nimehusika akidai nikaishi nae kwe2.jamani ushauri na uzoefu wenu utumike kunisaidia.
Wewe jione mjanja kwa kumega wake za watu za mwizi 40 siku ukikamatwa na wewe utamegwa uone chungu yake.
 
Back
Top Bottom