Alipojifungua alijitahidi kufunga mkanda wa kubana tumbo mpaka tumbo limekaa sawa.
Sasa tatizo yale mamikunjo kunjo hivi wa dada aka wamama mnaitoaje ile?
Kuna kipindi alijaribu kupaka mafuta flani, holaa
Mpaka sasa ipo tu mikunjo kunjo.
Ashajifunfua mara mbili.
Acha mambo ya kitotoo tafuta hela mkuuu achana na hizo biasharAlipojifungua alijitahidi kufunga mkanda wa kubana tumbo mpaka tumbo limekaa sawa.
Sasa tatizo yale mamikunjo kunjo hivi wa dada aka wamama mnaitoaje ile?
Kuna kipindi alijaribu kupaka mafuta flani, holaa
Mpaka sasa ipo tu mikunjo kunjo.
Ashajifunfua mara mbili.
Kama mikunjo haileti maumivu kwa mkeo achana nayo. Tafuta pesaAlipojifungua alijitahidi kufunga mkanda wa kubana tumbo mpaka tumbo limekaa sawa. Sasa tatizo yale mamikunjo kunjo hivi wa dada aka wamama mnaitoaje ile?
Kuna kipindi alijaribu kupaka mafuta flani, holaa Mpaka sasa ipo tu mikunjo kunjo.
Ashajifunfua mara mbili.
Haswaaaaaaaa. Asante kwa pichaBila shaka unazungumzia hii mikunjo mkuu[emoji116]View attachment 1637659
Hii mkuu hua inafanyika wiki kadhaa akishajifungua. Hasa hasa huko chini. Kwa tumboni sidhani kama wanakandwa.Maji ya moto kuzingatia kukanda tumbo mpaka sehemu za siri ili kurudisha mishipa na misuli kwenye hali yake
Mkuu hii mikanda alipomaliza kujifungua ndio alitumia ndio maama tumbo lake limerudi kama mwanzo. Shida ni mikunjo.Binafsi huwa sipendi Kabisa kukutana kimwili na mwanamke mweye iyo mikunjo.
Inanitoa Kabisa KWENYE mood.
Kama Ni mkeo na bado unampenda sana,
Basi Mtafutie mikanda Kama hii[emoji116]View attachment 1637665
Mrs Van mtoto wa mwisho wa pili alijifungua mwaka mmoja uliopita na siku kama 15 hivi.Amejifungua lini? Hiyo mikunjo huisha overtime maana tumbo lilitanuka haliwez kunywea ghafla. Kama ni normal delivery afanye mazoezi.
Binafsi huwa sipendi Kabisa kukutana kimwili na mwanamke mweye iyo mikunjo.
Inanitoa Kabisa KWENYE mood.
Kama Ni mkeo na bado unampenda sana,
Basi Mtafutie mikanda Kama hii[emoji116]View attachment 1637665
Simaanishi hivyo,kama michirizi haileti maumivu kwa nini ikusumbue,ni suala la muda tu itapungua au kuisha kabisa.Mkuu pesa inatafutwa na mambo zingine zinaendelea. Na leo ni jumapili plus niko likizo. Au nilazimishe niende job leo. Au iweje!
Haswaaaaaaaa. Asante kwa picha
Dah mkuu tangu wafute ule Uzi wetu Pendwa naona tupo tupo kama zamani enzi za ukoloni kila kitu ni process yani weekend inaisha bila BoomBila shaka unazungumzia hii mikunjo mkuu[emoji116]View attachment 1637659
Thanks. Aaah mtu akishakuzalia watoto wawili heshima na upendo lazima asee unless otherwise.Hongera kwa kupata watoto na kumjali mke wako aliyekubebea hao watoto mkuu
Hiyo mikunjo itaisha taratibu.... Kama unaona akivaa nguo hapendezi aendelee kutumia mikanda ile
Kama bado hajamaliza mmalize kabisa ili mnapoanza kushughulikia hilo tumbo iwe suluhu ya kudumu
Thanks. Aaah mtu akishakuzalia watoto wawili heshima na upendo lazima asee unless otherwise.
Hapa kwa kweli tumemaliza kufyatua.
Hapo sawa kumbe itaondoka yenyewe.
Akivaa nguo anapendeza sana kama hajazaa vile. Perfect kabisa.