Apo Ni suala la misuli TU inakomaa kidogo kidogo,Mkuu hii mikanda alipomaliza kujifungua ndio alitumia ndio maama tumbo lake limerudi kama mwanzo. Shida ni mikunjo.
Hii mikanda haiondoi mikunjo. Ni kurudisha tumbo tu.
Ooh Ok. Asante sana aisee Kwa ushauri.Apo Ni suala la misuli TU inakomaa kidogo kidogo,
Afanye TU mazoez ya tumbo na ajiepushe kushiba Sana.
Binafs shemej yako nae Alkua nayo baaada ya kujifungua.
Ila nligombana nae Sana KWENYE zoezi la kuvaa Huo mkanda wa tumbo
Pia,
tumegombana Sana na wakwe zangu kumlisha ovyo ovyo.
Kafanya Sana mazoez madogo madogo
Nashkuru mwaka mzma baada ya kujifungua hakunenepa.
Sahv nkiangalia tumbo lake Kia's flan naridhika.
Japokua,
Haijaisha Moja kwa moja.
Ila tumbo liko compact Kabisa, Ni gumu sio tepe tepe Kama ilvokua mwanzo.
HIVI NDIO MARA YA KWANZA NAONA MWANAUME HAYA MAMBO YANAMSHUGHULISHA MPAKA NA UZI WAANZISHA...
Ambao wako concerned na wake zao yes, why not.HIVI NDIO MARA YA KWANZA NAONA MWANAUME HAYA MAMBO YANAMSHUGHULISHA MPAKA NA UZI WAANZISHA...
Ndipo mambo ya mikunjo...?Ambao wako concerned na wake zao yes, why not.
Inashangaza Sana 😂🤣😂🤣HIVI NDIO MARA YA KWANZA NAONA MWANAUME HAYA MAMBO YANAMSHUGHULISHA MPAKA NA UZI WAANZISHA...
Mkeo akizaa mtaacha kufanya?.Binafsi huwa sipendi Kabisa kukutana kimwili na mwanamke mweye iyo mikunjo.
Inanitoa Kabisa KWENYE mood.
Kama Ni mkeo na bado unampenda sana,
Basi Mtafutie mikanda Kama hii[emoji116]View attachment 1637665
Kwani pesa zinatafutwa job tu?Mkuu pesa inatafutwa na mambo zingine zinaendelea. Na leo ni jumapili plus niko likizo. Au nilazimishe niende job leo. Au iweje!