kumtimua si haki.si sawa pasipo kujiuliza/kumuuliza maswali yafuatayo:
1.jamaa hajawai kuchit ata maramoja?..(aliye msafi awe wa kwanza kurushia jiwe mtu huyu...)
2.amuulize sababu za mkewe kutoka nje...UENDA SABABUI NI MWANAUME..hampi dudu au anampa pungufu au anamfania makorokocho amabyo yanamfanya mkewe asilifurahie tendo na mkewe na hawakupata muda wa kulizungumzia jambo.tatizo ilo
3.aangalie km mkewe ana dhamira ya kujiruidi...kuwa bora.mwema,.mwaminifu kwa mmewe....(kila mtu anakosea akuna mkamilifu uenda akimsamehe atakuwa mkebora...me n u we dont know ....mchek anasomekaje km kajutia poa tu mbona nyie wanaume mnapga sana nje na mitoto mnaleta ndani au mnazan wake zenu wana painproof?yess msamehe km wake zenu wanavyowasamehe
life is 2shot..chek mopyo wako unasomekaje...kachek afya km poa endelea...