kaka cha msingi ni ushauri hili tatizo ni la mdogo wangu na sii utani
ni kweli ndugu ila wazazi wa kijana wamekataa na wamemwambia binti kuwa wanamtambua yeye tuu na kama kijana atamuacha na kuoa binti mwingine atafute wazazi wake wapya na wala asikaribie kwao
Hellow wana-mmu. hali inamwumiza sana alikuwa na mpenzi alimsomesha mpaka form six na kumgharamikia kila kitu na alipomaliza alimfungulia duka la vipodozi akalifilisi kwa kuwahonga wanaume ndipo alipoamua kumfurudisha kwao, alikaa miezi miwili na alilazimisha kurudi baada ya mda mfupi alipata ujauzito ambao alidai ni wake. Mwisho alizaa mtoto wa kike na jana katika hali isiyo ya kawaida mke wakd amekiri alipomrudisha kwao alimsaliti kwa kutembea na mwanaume aliyekuwa naye mwanzo. Anataka kumwacha familia inakataa ushauri wenu tafadhali
kaka cha msingi ni ushauri hili tatizo ni la mdogo wangu na sii utani
ni kweli ndugu ila wazazi wa kijana wamekataa na wamemwambia binti kuwa wanamtambua yeye tuu na kama kijana atamuacha na kuoa binti mwingine atafute wazazi wake wapya na wala asikaribie kwao
kinachosikitisha ndugu wa msichana nao wanatishia kwa imani za kishirikina kwani huko tanga usaliti kwao ni jambo la kawaida
kaka cha msingi ni ushauri hili tatizo ni la mdogo wangu na sii utani
Rose maswali mazuri ila hilo la pili; muda wa kuzungumza ndio uwe baada ya kufanya kosa? Kwa nini hakuzungumza naye kabla hajaanza kumangamanga nje?kumtimua si haki.si sawa pasipo kujiuliza/kumuuliza maswali yafuatayo:
1.jamaa hajawai kuchit ata maramoja?..(aliye msafi awe wa kwanza kurushia jiwe mtu huyu...)
2.amuulize sababu za mkewe kutoka nje...UENDA SABABUI NI MWANAUME..hampi dudu au anampa pungufu au anamfania makorokocho amabyo yanamfanya mkewe asilifurahie tendo na mkewe na hawakupata muda wa kulizungumzia jambo.tatizo ilo
3.aangalie km mkewe ana dhamira ya kujiruidi...kuwa bora.mwema,.mwaminifu kwa mmewe....(kila mtu anakosea akuna mkamilifu uenda akimsamehe atakuwa mkebora...me n u we dont know ....mchek anasomekaje km kajutia poa tu mbona nyie wanaume mnapga sana nje na mitoto mnaleta ndani au mnazan wake zenu wana painproof?yess msamehe km wake zenu wanavyowasamehe
life is 2shot..chek mopyo wako unasomekaje...kachek afya km poa endelea...