Jamani mmemuona Jide

mimi wanacelebity mmenishagaza sana ivi inakuwaje leo hii mumponde jide ivi?au ninyi mlikuwa mnampenda alivyokuwa na Gadner?..yaani halafu wanaomponda ndo haohao team Jide!ama kweli dont trust anyone!
 
Saivi kapata mtu mwingne au bado? Nikajrab bahati yngu
 
Unafikiri hawaelewi?!!

Wanaelewa sana sema katika kujifariji na ugumu wa maisha hujikuta wanawaongelea vibaya wenye mafanikio.....!

Exactly! Tena mengi humu ni madungayembe hayana hata wa kuwaambia habari gani dada! Ndo utayakuta usiku kucha mchana kutwa Ku comment!
Mwanamke mwenye mafanikio kiuchumi ni adui yao!
Badala ya ku support na kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa ,wanaomba dua afilisike, augue, ndoa ivunjike and all ill stuffs!
Shame on you my fellow women!
 

Thank you, like like like and one more like kweli kabisaa
 
Wanafiki tu hao wanaoanza kumponda jide leo...eti hazai mmejua mungu kawapangia nn na nyinyi..tusiingilie kazi ya mungu jaman
 
Yani hapo kapaka make up nyingi its too much!kisa ni jide ndio asiambiwe!!
 
Kapendeza kupaka mimekapu , wanawake cjui nani anawadanganya wanakuwa wazuri wakijipaka midude hy,
 
hiyo inaitwa makeup with purpose, mbona akiwa na captain hakuwahi kukandika makeuop hiviiii????
 
yani ni kama wapambe wake wamemuweka chini wakamwambia hakikisha unapendezaaaaa mpaka roho imlipuke,huyo ajiitae captain, pendezaa mpaka ajione majajitain sasa na yeye kwa vile uzuri wa natural hana, makepunist akapewa tenda
 
Nyie mnaomwita Jide mbaya....are you serious?
Mmemlinganisha na nani labda?
Acheni utani bhana
 
Uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu, na pia site tumeumbwa na Mungu wewe nani hata uukosoe uumbaji wa Mungu? Wanawake ifike mahali tuache chuki zisizokuwa na maana, kisa tu mwenzetu ana mafanikio ama ni nini?
 
jide hajawah kupendeza toka nimemjua ninamheshimu sana ila spend tabia yake ya kutowaheshimu wanaume hii ni tabia mbovu na sio mfano wa kuigwa hongera marlow na besta
 
jide hajawah kupendeza toka nimemjua ninamheshimu sana ila spend tabia yake ya kutowaheshimu wanaume hii ni tabia mbovu na sio mfano wa kuigwa hongera marlow na besta

Umejuaje hawaeshimu wanaume?!
 
Na wewe c ukapake hiyo makeup kwani umekatazwa na nani? Wabongo bhana mko ma miwivu ya ajabu ka wachawi pyuuuuuuu

Huwa tunawanga wote...mfyuuu!narudia tena too much make up...nimwonee wivu mtu ambaye yupo ulimwengu mwingine mbali na maisha yangu we vipi!!kanunue ugomvi kwingine sitaki shobo!!
 
jide hajawah kupendeza toka nimemjua ninamheshimu sana ila spend tabia yake ya kutowaheshimu wanaume hii ni tabia mbovu na sio mfano wa kuigwa hongera marlow na besta

una uhakika?
unamjua gadna wewe?
unajua km ana ndoa ya kanisa imemshinda?
unajua km mkewe toka aolewe hajaachika na ana gud life kimtindo?
unajua kilichofanya waachane na mkewe?
unajua kua gadna kashafumaniwa sana na jide?
je we ungeweza kuishi na mwenza wa hvyo?
unajua ndoa yao ina miaka mingapi?
besta na marlow wameoana lini labda mpaka uwafananishe?
tatizo watu humu wana negative attitude kwa jide so chochote cha jide anaoneka mbaya ila kiukweli ile ndoa jide ameipigania ile ndoa na wanawake wakipenda wanapenda kweli na wakisema its overrr...!!
bas ujue its overrr kweli
 
utakuwa na tatzo kubwa la kutokujielewa kabla hujaelewa soma kwa makin nlichoandka ndyo uje uropoke hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…