Jamani msaada kwa mwalimu wa ngumi kuna mtu kanizingua

Rahisi sana huyo usimwendee dojo, mwendee kwa mtaalam. Na mwambie mtaalam Unataka hasimu wako kila akitoka mihangaiko hela yote ana kuletea wewe.
Duuu mtaalam wa taaluma gani hiyo kiongozi
 
Mkuu ukishaenda dojo na ukajifunza ukawa fiti huta pata hamu ya kupigana kwani utafundishwa na nidhamu.
Kumbuka 'kwa kutenda maovu unajihukumu mwenyewe'. Mfikilie scorpion mda huu anajutiaje
 
Habari wana Jamvi nani anamfahamu mwl mana kuna fara flani kanizingua hapa Mwanza nataka nijifunze Ngumi ili nirudishe heshima ahsante sana nawasilisha.......!!!
We mloge tu aamke asubuhi moja tu akienda chooni akojoe vidagaa
 
Fika garage ya toyota Mza kuna jamaa ni noma alafu kachanjiwa naskia Yaani jamaa akipigwa mzuka ndio unapanda watu 20 hawawezi kuzima mtiti wa jamaa uyo ni noma
 
Inategemea ni chezo gani unaotaka, Mi nafundisha karate(combat/gujuruu na shotokan) na ujuzi wa ikido na capoiera.
Ni Pm nikusaidie tatizo lako
 
Ila Kuna mmoja unaitwa Krav Maga, kama unautaka lazima unilipe.
 
Habari wana Jamvi nani anamfahamu mwl mana kuna fara flani kanizingua hapa Mwanza nataka nijifunze Ngumi ili nirudishe heshima ahsante sana nawasilisha.......!!!
Siku hizo watu wa maboks, ukipiga umeua na kesi unayo.
 
Habari wana Jamvi nani anamfahamu mwl mana kuna fara flani kanizingua hapa Mwanza nataka nijifunze Ngumi ili nirudishe heshima ahsante sana nawasilisha.......!!!
Dah..ajabu sana...wengine wanajifunza shabaha...wengine wanajifunza ngumi...[emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…