Ana miaka 22.na kaanza jana jioni
Poa mkuu,
Pole sana kwa dogo.
Kuna dawa huwa inaidia sana ni mafuka ya kuku,Kama unaweza pata kuku ukamchinja kuku mwenye afya i mean mnene ndo huwa na mafuta.After kumchinja toa mafuta mafuta yeyusha then yawe ya vuguvugu mwekee dogo kwenye sikio linalouma ama yote atapona mara moja na halitorudia kwa the same chanzo.kama utaweza ni njia nzuri japo pia waweza kwenda hospitali.
pole sana kwa dogo.
Kuna dawa huwa inaidia sana ni mafuka ya kuku,kama unaweza pata kuku ukamchinja kuku mwenye afya i mean mnene ndo huwa na mafuta.after kumchinja toa mafuta mafuta yeyusha then yawe ya vuguvugu mwekee dogo kwenye sikio linalouma ama yote atapona mara moja na halitorudia kwa the same chanzo.kama utaweza ni njia nzuri japo pia waweza kwenda hospitali.
Kama mkuu ametuelewa nadhani atamsaidia mdogo wetu.hii ni kweli kabisa, juma lililopita niliumwa sikio la kulia nkanunua ear/eye drops haikufanya kazi
nikaambiwa nitafute mafuta ya kuku.....nakuambia matone mawili niliweka usiku mpaka asubuhi nilipona 90%. Nikaweka mara ya pili asubuhi likapona kabisaaa baada ya masaa
matano. Huwezi amini mafuta ya kuku ni dawa ya ajabu.
Ukishayaweka ulale upande ili yasitoke. Uwekwe na mtu ukiwa umelala