Mdogo wangu sikio linamuuma, anadai akitafuna kitu anapata maumivu.
Anahis kuna kitu kinatembea na kwa kweli anahiis maumivu mpaka analia. Jana usiku hakulala kabisa, nimemnunulia dawa ya drop kama huduma ya kwanza lakin anadai bado anaumia.
Naombeni msaada wenu ,wakubwa nawasilisha.
Anahis kuna kitu kinatembea na kwa kweli anahiis maumivu mpaka analia. Jana usiku hakulala kabisa, nimemnunulia dawa ya drop kama huduma ya kwanza lakin anadai bado anaumia.
Naombeni msaada wenu ,wakubwa nawasilisha.