Matata25 Member Joined Feb 5, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Feb 17, 2014 #1 naomba msaada huwa wakati mwingine nawashwa na nikijikuna panavimba na hugeuka kuwa kama jipu na tatizo hilo hutokea miguuni tu wadau namba msaada anaejua dawa na tatizo ni nini?
naomba msaada huwa wakati mwingine nawashwa na nikijikuna panavimba na hugeuka kuwa kama jipu na tatizo hilo hutokea miguuni tu wadau namba msaada anaejua dawa na tatizo ni nini?
OZILY Senior Member Joined Dec 29, 2013 Posts 159 Reaction score 39 Feb 17, 2014 #2 Nenda duka la dawa muelezee muuzaji atakwambia dawa
VPN USED2020OCTOBER28 JF-Expert Member Joined Oct 27, 2011 Posts 1,505 Reaction score 674 Feb 17, 2014 #3 Nenda hospitali mkuu! Yawezekana ni aleji inayotokana na kula vitu ambavyo mwili wako haivitaki
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Feb 17, 2014 #4 Jaribu kuacha kimoja kimoja kati ya hivi vyakula, afu ucheki matokeo. 1. MAZIWA 2. KITIMOTO 3. MAYAI NK
Jaribu kuacha kimoja kimoja kati ya hivi vyakula, afu ucheki matokeo. 1. MAZIWA 2. KITIMOTO 3. MAYAI NK
Matata25 Member Joined Feb 5, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Feb 17, 2014 Thread starter #5 nashukur kwa ushauri wako mkuu!