Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.
wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????
Bora uachane na mapenzi kwa muda! You don't deserve Alex's love for sure! Ulimuumiza sana bila hatia sasa yamekushinda unataka kurudi kwake?no thank you!
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.
wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????
My wife has been working with this other woman for 2 months. About a month ago they started texting each other very often. On days they don't work they text each other 40-50 times per day. It starts has soon as my wife wakes up and goes on until she goes to bed. I tried to check my wife's text messages but she deleted them. I did however see some texts from last week. It started with the other woman sending my wife three texts first thing in the morning. First text "I". Second text "Miss". Third text "You". This seemed very strange to me. Later in the day during one of their conversations my wife says "love ya". This had nothing to do with their conversation. Later in the day during another conversation my wife says "miss you and love you". Again, this had nothing to do with the conversation. Later she sends a text that says "watcha doin". The other woman's reply "missing you". They continued texting off and on all day. I was able to see some of these other texts and in one of them the woman says "i miss you". then in the next text she says "do you miss me". I confronted my wife about it later that night and she began crying uncontrollably saying she can't believe that I think she is a lesbian. She said they are just very good friends. Last Friday they were both off from work and texted each other all day long. My wife deleted the texts before I could read them. one of the sms from the other woman was like this "i'm worried about you today. are you ok?" My wife deleted her response before I could read it but didn't delete any of ther other texts between them. But when I checked my wife's phone that night all texts were deleted. I confronted her about it again and this time she got mad and continues to say they are just really good friends. I would really appreciate your input on this. Please tell me I'm reading too much into this and that it is all innocent.