Jamani mtupe Siri

Jamani mtupe Siri

Almanusura wagongwe na gari lakini waaaapi![emoji2377]
IMG_1860.jpg
View attachment 1840485
 
Ni zamu tu, ukichezea nafasi yako unasubiri tena...
 
Habari zenu wakuu,
Mi Nina swali, ivi?! Inakuaje?! Watu wanapendana adi wanavaa sare adi wanaoana? Seriously mtuibie Siri tunakwama wapi wengine ndo tunazeeka ivo
Umefanya uhuni weeee na kukataa wanaume kisa bado hujafaidi maisha. Sikia, unajuwa wanaume ni wafuatiliaji wazuri sana wa historia ya mwanamke wanaotaka kuwa nao kimahusiano, kama ulikuwa na mambo ya mademu wa bongo movie huko nyuma basi tegemea kuchezewa tu mpaka unazeeka.
 
Habari zenu wakuu,
Mi Nina swali, ivi?! Inakuaje?! Watu wanapendana adi wanavaa sare adi wanaoana? Seriously mtuibie Siri tunakwama wapi wengine ndo tunazeeka ivo
Kila shetani na mbuyu wake madam katibu muhtasi
 
Simu yako iwe yampenzi wako yakwake iwe yako(hata mkiweka pini kilammoja ajue yamwezake)

Punguza sana maswala ya send off ,happy birthday zawatu na makundimakundi punguza kuna umri wamakundi makundi au urafiki uchwara baina yako nawezako nakutolea sana mifano maisha yawezako..

Kama umeelewa asante
 
Naomba mnisaidie kumtag zero iq huu uzi ni muhimu sana kwa upande wake.
 
Back
Top Bottom