Jamani muwe serious basi

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Humu wengi wanachekesha, jameni mjue kuwa nyie hampo serious kweli mnaamini picha za avatar. Haya basi kama mnataka mtu awe utakavyo siunagharamia sasa mtu kafikia alipofikia unashangaa what niwewe ,?? Eh kwani nimegharamiwa ili nipendeze what if naona mi nilivyo nipo sawa.

Hi sio facebook unaweka real life . Hii ni jamii forum unaweka picha uipendayo na sio wewe ni umeipata tu huko so msi kariri maisha.
 
Ni kama nimeelewa afu kama sijaelewa yaan dilemma
Nielewesheni kdg apoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila mkuu sio poa, mzigo wenyewe huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…